Diamond Platnumz Kufikishwa Mahakamani


Ndo ujue kuna kitu kinaitwa malicious prosecution, wrongful arrest etc etc kina deal na hizo psychological torture etc
 
Utakuta Amiri jeshi ndio katoa ruhusa ya jamaa kuvaa hizo sare.Si unajua amiri jeshi ndio rafiki yao hao wasanii.
 
Hii sasa ni double standard,mbona mh. Mwigullu Nchemba anavaa kofia ya jeshi la China na hajachukuliwa hatua yoyote?hili ni jeshi letu wananchi na huyo Diamond ana mchango wa kodi inayowapa hao wanajeshi mshahara.
 
Diamond alikuwa na kibali cha kutumia nguo za jeshi la wananchi kwenye show yake na alipewa toka alhamisi!
 
Angalia picha hapo chini,hii ni haki kweli?
 
ha ha ha ha "mwana daresalama" umepanic.

We ndo umepanikishwa na kiba inaonyesha cna team ushuzi kama za kwenu zinazowanyima usingizi bosi wako domo kafulia ajipange na.mtajutra mwaka huyo kiba atawanyima sana usingizi
 
We ndo umepanikishwa na kiba inaonyesha cna team ushuzi kama za kwenu zinazowanyima usingizi bosi wako domo kafulia ajipange na.mtajutra mwaka huyo kiba atawanyima sana usingizi

Inaonyesha una akili za kitoto sana kila mada una kimbilia ubishani wa kiba na domo ha ha ha ha,too childish for me to discuss mada za kipuuzi kama hizo,nyie first year mna shida sana.
 
ww akili yako cio nzuri soma hiyo sheria hapo juu vizuri. vazi liwe au lisiwe la JWTZ ila lina mfanano wowote tayari ni kosa. we kawe wakili mirembe.

Ushaambiwa sio sheria ni tamko..mtu anahukumiwa kwa sheria sio tamko ila kwasababu ni layman inabidi nikuelewe tu
 
Inaonyesha una akili za kitoto sana kila mada una kimbilia ubishani wa kiba na domo ha ha ha ha,too childish for me to discuss mada za kipuuzi kama hizo,nyie first year mna shida sana.

We ndo mwenye akili za kitoto unaye bishana na mtoto mwenako upo hapo dume zima wivu na hyo team domo itakuua kumbe unafatilia comment zangu good for me it seems huna cha kufanya hadi unafatilia kiba na daimond eeh usilo lijua ni sawa na ucku wa giza na huo unjuka wako wako wa kufikiria first i feel sory for u unaye discus topic za kitoto kama sio juha nini naona fiesta ili kuumiza sana jinyonge basi mumeumbuka nyooooooooo shame on you and mind ua own fuc...business
 

Unaoneka ni fundi sana wa maneno ila kichwani ni box,fun enough ni jinsi unavyo komalia domo na kiba as if u r a f@kin street whor.e who is stressed na some kind of........afterall ni ustupi.d kubishana na mgonjwa kama wewe,una jiita beyonce kumbe ni kichaa wa vingunguti......soma mama wazazi wana kutegemea.HAYA UMESHINDA.jioni njema.
 

Mwandishi huyu n kanjanja,kwanza GK hakuvaaa mabaka kwenye video ya simba wa africa ilikuwa n wimbo wa Ama zangu Ama zao hlo mosi,pili hii habar imekaaa kimagendo magendo kumchafua icon wa tz tu bt hata angevaa nn Diamond atabak kuwa Diamond na ukitaka jua kama n Msanii nyota na icon wa nchi siku akupanda mahakaman na kuhukumiwa kwa kosa hilo njoo hapa nkupe salio la 50K...
TeamGoodmusic.....
Hatemajungu na wivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…