aminiusiamini
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 3,577
- 2,224
Only in tanzania yetu. Tumezidi ujinga na kushabikia upumbavu. Ukitaka kukua ujinga wa watz angalia raisi waliomchagua.ptuuu!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo kesi natamani niwe wakili wake swali moja tu la msingi je amevaa nguo za JWTZ au zinazofanana na za JWTZ ?
yote ni makosa tu mkuu, ulisoma tamko la JWTZ??
Ni kweli aende tu mtu ana zivaa wakati.hajafanya hata zoezi moja la jeshi tena anajipaka na wanja na lipstick anaimba nalo mwanaume hapo si kulozalilisha jeshi kwa mambo muhimu wanayo tenda tena jeshi letu lina heshimika kote sub saharan mana kuvaa hivo na wengine wataiga wataona kawaida kwa vile daimond alivaa na hakuchukuliwa hatua
Only in tanzania yetu. Tumezidi ujinga na kushabikia upumbavu. Ukitaka kukua ujinga wa watz angalia raisi waliomchagua.ptuuu!!!
Wewe si ulikua unamtetea yule mwingine aliyeoga pale k/koo?
kuna watu ni wanafiki humu ndani duuh.
Wewe si ulikua unamtetea yule mwingine aliyeoga pale k/koo?
Siku soma aisee, tamko la JWTZ sio sheria..kwaio wanaposema wanampeleka mahakamani mtu anahukumiwa kwa kutumia sheria sio tamko...
We ndo mnafiki uliye kubuhu nitolee naniliu sasa ana tofauti gani na aliye ogoshwa na yeye achukuliwe hatua ukichangia yeye ni.kioo cha jamii na kuna wengi watamuiga uwe unatumia akili ukome kuniita mnafiki nitolee nani zilizo sinyaa hapa mfuuuuiiuuuuxieww
Tetesi zinasea jamaa ypo makao makuu now
source jamaa yangu hapo lugalo
Tetesi zinasea jamaa ypo makao makuu now
source jamaa yangu hapo lugalo
Hiyo kesi natamani niwe wakili wake swali moja tu la msingi je amevaa nguo za JWTZ au zinazofanana na za JWTZ ?