Diamond Platnumz kuisimamisha nchi kuachia wimbo wa kimataifa tarehe 23 September 2024

Diamond Platnumz kuisimamisha nchi kuachia wimbo wa kimataifa tarehe 23 September 2024

sinza pazuri

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
3,344
Reaction score
9,066
20240622_174115.jpg


Msanii namba moja Africa na mfanyabishara millionea Diamond Platnumz siku ya jumatatu 23 September 2024 ataachia wimbo mkali sana level za kimataifa.

Kwa sasa watanzania wote macho na masikio wameelekeza kwenye ujio huu wa diamond unaokuja kikubwa.

Je ni wimbo upi ataachia holiday au upi?
Watanzania tuwe watulivu tusubiri nini anatuletea supastaa wetu wa Africa
 
View attachment 3102243

Msanii namba moja Africa na mfanyabishara millionea Diamond Platnumz siku ya jumatatu 23 September 2024 ataachia wimbo mkali sana level za kimataifa.

Kwa sasa watanzania wote macho na masikio wameelekeza kwenye ujio huu wa diamond unaokuja kikubwa.

Je ni wimbo upi ataachia holiday au upi?
Watanzania tuwe watulivu tusubiri nini anatuletea supastaa wetu wa Africa
 

Attachments

  • 20240921_183608.jpg
    20240921_183608.jpg
    84.5 KB · Views: 8
Back
Top Bottom