sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
- Thread starter
- #21
Kachemka kufanya biashara yake? Au ulitaka asitoe wimbo mkuuDogo hapo kachemka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kachemka kufanya biashara yake? Au ulitaka asitoe wimbo mkuuDogo hapo kachemka
Mkuu hii colabo inaweza kuwa ndio tobo la bongofleva duniani yani sio mchezoMkumbushe P. didy kakamatwa na video zake yeye na P.didy zipo mikononi mwa FBI
Chumvi au ujinga?Msanii namba 1 Africa?
Hebu punguzeni chumvi basi
ujinga kabisa kuna Kina Akon huko wametulia tu.Chumvi au ujinga?
OkayView attachment 3102243
Msanii namba moja Africa na mfanyabishara millionea Diamond Platnumz siku ya jumatatu 23 September 2024 ataachia wimbo mkali sana level za kimataifa.
Kwa sasa watanzania wote macho na masikio wameelekeza kwenye ujio huu wa diamond unaokuja kikubwa.
Je ni wimbo upi ataachia holiday au upi?
Watanzania tuwe watulivu tusubiri nini anatuletea supastaa wetu wa Africa
View attachment 3102243
Msanii namba moja Africa na mfanyabishara millionea Diamond Platnumz siku ya jumatatu 23 September 2024 ataachia wimbo mkali sana level za kimataifa.
Kwa sasa watanzania wote macho na masikio wameelekeza kwenye ujio huu wa diamond unaokuja kikubwa.
Je ni wimbo upi ataachia holiday au upi?
Watanzania tuwe watulivu tusubiri nini anatuletea supastaa wetu wa Africa
sinza pazuri Bosi wako kwisha habari yake.View attachment 3103557
Vitu gani hivo alivofanya na didy ambavo hawez kupost??
Shoga hili linatumiwa tu na watu wakubwa kuwapoteza maskini ili wasifuatilia mambo ya muhimu yanaendelea nchini.
Mwana anapoteaView attachment 3102243
Msanii namba moja Africa na mfanyabishara millionea Diamond Platnumz siku ya jumatatu 23 September 2024 ataachia wimbo mkali sana level za kimataifa.
Kwa sasa watanzania wote macho na masikio wameelekeza kwenye ujio huu wa diamond unaokuja kikubwa.
Je ni wimbo upi ataachia holiday au upi?
Watanzania tuwe watulivu tusubiri nini anatuletea supastaa wetu wa Africa
Cc. Sinza all ⭐View attachment 3102243
Msanii namba moja Africa na mfanyabishara millionea Diamond Platnumz siku ya jumatatu 23 September 2024 ataachia wimbo mkali sana level za kimataifa.
Kwa sasa watanzania wote macho na masikio wameelekeza kwenye ujio huu wa diamond unaokuja kikubwa.
Je ni wimbo upi ataachia holiday au upi?
Watanzania tuwe watulivu tusubiri nini anatuletea supastaa wetu wa Africa