sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Nchi ni kubwa hii mjomba kila mtu atachagua kufatilia anachokipenda , ila tutaona watu wataweka wapi maskio yao.Kwahiyo na maandamano yatasimama kupisha wimbo wa damond?
Basi ungeiweka vizuri kwamba atasimamisha shughuli za redio atakapokuwa anazindua wimbo wake, lakini siyo kusimamisha nchi.Nchi ni kubwa hii mjomba kila mtu atachagua kufatilia anachokipenda , ila tutaona watu wataweka wapi maskio yao.
Diamond siku zote anasimamisha nchi anafunika kila kitu ukiweka pua yako mbele yakeBasi ungeiweka vizuri kwamba atasimamisha shughuli za redio atakapokuwa anazindua wimbo wake, lakini siyo kusimamisha nchi.
Na sio redio tu Bali redio yakeBasi ungeiweka vizuri kwamba atasimamisha shughuli za redio atakapokuwa anazindua wimbo wake, lakini siyo kusimamisha nchi.
View attachment 3102243
Msanii namba moja Africa na mfanyabishara millionea Diamond Platnumz siku ya jumatatu 23 September 2024 ataachia wimbo mkali sana level za kimataifa.
Kwa sasa watanzania wote macho na masikio wameelekeza kwenye ujio huu wa diamond unaokuja kikubwa.
Je ni wimbo upi ataachia holiday au upi?
Watanzania tuwe watulivu tusubiri nini anatuletea supastaa wetu wa Africa
Diamond siku zote anasimamisha nchi anafunika kila kitu ukiweka pua yako mbele yake
Vazi la pweza ilo mkuu hapo alikuwa Paris fashion weekNa Hilo vazi alilovaa linaitwaje lipo kama pweza
Kwani hapa CCM inaingiaje unamuofia diamond?Anatumika kisiasa na c c m
Aka habari mvunjikoKumbe hii nayo ni breaking news...
Upo nje ya mada polish your brainHakuna wimbo Mkali zaidi ya sa100 must go.