Diamond Platnumz kulipwa BIL 2.3 kutumbuiza katika harusi ya kifahari Mombasa Kenya

Diamond Platnumz kulipwa BIL 2.3 kutumbuiza katika harusi ya kifahari Mombasa Kenya

Dede 01

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2024
Posts
1,182
Reaction score
2,248
Habari wakuu.

Kweli kuna watu wanakula mema ya nchi. Katika harusi iliyofanyika leo jijini Mombasa, Diamond Platnumz amelipwa Bil 2.3 kwaajili tu ya kuperform kwenye harusi hiyo.

Kwa wale wenye source naomba wanijulishe hii ilikuwa ni harusi ya nani kwakuwa hadi Rais wa Kenya William Ruto alihudhuria harusi hiyo.

Yangu ni hayo tu wakuu.

 
Habari wakuu.
Kweli kuna watu wanakula mema ya nchi. Katika harusi iliyofanyika leo jijini Mombasa, Diamond Platnumz amelipwa Bil 2.3 kwaajili tu ya kuperform kwenye harusi hiyo.
Kwa wale wenye source naomba wanijulishe hii ilikuwa ni harusi ya nani. Kwakuwa hasi rais wa Kenya Mh
William Ruto alihudhuria harusi hiyo.
Yangu ni hayo tu wakuu.
Unatudanganya umetuona sisi ni mabektatu. Alafu huna habari kamili...
 
Nakumbuka mwaka juzi Chris brown alienda kupeform Nairobi na akalipwa milion mia tisa kwenye ile show iliyohudhuriwa na maelf ya watazamaji

Kama diamond kalipwa kias cha pesa hiyo uliyotaja kwa show moja ya harusi bas kweli atakuja kuwa tajiri namba moja dunian

Asante
 
Nakumbuka mwaka juzi Chris brown alienda kupeform Nairobi na akalipwa milion mia tisa kwenye ile show iliyohudhuriwa na maelf ya watazamaji

Kama diamond kalipwa kias cha pesa hiyo uliyotaja kwa show moja ya harusi bas kweli atakuja kuwa tajiri namba moja dunian

Asante
Wiki mbili zilizopita alilipwa million 400 kwenye ile show ya Kenya ambayo hakupanda kutumbuiza,wiki iliyofuatia akawa na show utoaji wa tuzo za CAF Morocco sijui alilipwa sh ngapi,ila i hope ni nyingi..Huyu kijana ndani ya mwezi huu kaingiza si chini ya billion 3 za show.Kweli anamaanisha anavyosema atakuwa tajiri namba moja
 
Na wewe una Amini kabisa atapewa 2.3Bil?alafu Nandy 0.8bil?

Hela watapewa kweli na nyingi ki wastani wa hela ya Mtanzania ila Hizo namba walizotaja hata robo yake unaweza kuta hawazipati..
Ndio habari inayo trend Kenya huko halafu kwa nn isiwezekane, kuna watu wana hela hilo bil 3 kwao ni sawa na kupunguza kikombe cha maji baharini.
 
Nakumbuka mwaka juzi Chris brown alienda kupeform Nairobi na akalipwa milion mia tisa kwenye ile show iliyohudhuriwa na maelf ya watazamaji

Kama diamond kalipwa kias cha pesa hiyo uliyotaja kwa show moja ya harusi bas kweli atakuja kuwa tajiri namba moja dunian

Asante

Wameongeza sifuri bro hujamzoea huyo jamaa. Na hizi mambo za kuongeza sifuri zinamsaidia sana kujibrand.
 
Back
Top Bottom