Diamond Platnumz kulipwa BIL 2.3 kutumbuiza katika harusi ya kifahari Mombasa Kenya

Diamond Platnumz kulipwa BIL 2.3 kutumbuiza katika harusi ya kifahari Mombasa Kenya

Kwa taarifa kama hizi za mitandao Rema alilipwa dola million 3.

Ambani anautajiri wa dolla billion 95.
Sasa why unaamini ya Rema unakataa ya Diamond maana source zote ni Mitandao, hamna verified document inayo onesha Rema kalipwa USD 3m.

Kwa maoni yangu binafsi Billion 2.3 ni pesa nyingi saana mzee....tena tunazungumzia cash.

Wasanii wananamna zao ya kukuza mambo maana inawasaidia kwenye umaarufu. Sidhani kama kuna mfanyabiashara ambaye hata sio bilionea atatoa dolla million 1.
Maana mimi nimesema source ni mtandao ukasema wasanii wanakuza,ila kwa Rema ambaye source ni mitandao hii unaona hajakuza.

Kumbuka Africa kuna watu wana utajiri wa maghumashi wengi,wapo kimya tena kama Kenya ni nchi yenye ufisadi uliokithiri,mfano tunasema Mo na Bakheresa wanahela,ila kuna watu wanahela kuliko hao wakina Bakheresa na Mo.

Mimi si shangai Mondi kukunja USD 1m ,juzi katoka kumuamisha mtu Mbezi Beach na nyumba aliyo ikuta kavunja yote anasimamisha nyumba yake na tena eneo kubwa (hii habari ipo sns na video wameweka na lile bango la kuonesha mmiliki,kampuni na mchoraji anayejenga wameweka),hiki kiburi na jeuri huwezi kukifanya kwa maeneo ya Mbezi beach kama hauna fedha.
 
Huyo bilionea analeta utamaduni mpya wa kualika wasanii kwenye harusi. Kila anayetaka kualika msanii ataalika kulingana kulingana na level zao. Wapo wasanii wa kuchukua mpaka elfu kumi, tano kama wale steji shoo. Watu watalipa wasanii kulingana na bajeti za harusi zao wasanii wa level za hela zao wapo
 
Mbona kashindwa kujenga amepanga
Mondi ana nyumba nyingi nilishawahi kumsikia Mkude Simba akisema kwa nyumba anazo zifahamu yy za Mondi ni 14.So inawezekana amezinunua kibiashara, maeneo yalipo yy kama yy haja mvutia.Ila sasa hivi ndio anajenga hekalu ushuani Mbezi Beach na kamuhamisha mtu na nyumba kaishusha yote.
Screenshot_20241224_230800_Chrome.jpg

Ukitaka maelezo zaidi link.
View: https://m.youtube.com/watch?v=Lu0E9m6-mPM&pp=ygUXRGlhbW9uZCBhbmFqZW5nYSBueXVtYmE%3D
Halafu kutokujenga sio kwamba mtu hana hela,wahindi kibao wamepanga ila kaangalie investment zao uone wanavyo tengeneza mpunga mrefu.
 
Back
Top Bottom