Diamond Platnumz Kununua Viewers na Followers

Diamond Platnumz Kununua Viewers na Followers

Bongo ata ukicheza kwenye maji walo na husuda na unafiki na roho za choyo watasema wawatimulia VUMBI
 
Basi jamaa ana mihela kama ndio ivyo. Kwa masikini huwezi kununua. Bora tu na wengine wapate pesa kupitia njia hiyo. Big up bro Dangote
 
Nitoboeee.?

Baada ya nguli wa mziki wa Bongo fuleva kuvunja rekodi ya video yake "kutizamwa" mara nyingi zaidi ya video yoyote afrika kwa muda mfupi wadau wamejitokeza na kusema kuwa "eti" mkali huyo ananunua Viewers ili video zake zionekane zinatazamwa zaidi wakati kiuhalisia Video za Alikiba ndo zinapaswa kuwa na viewers wengi zaidi.

Wadau hao pia wameongeza kuwa hata wale "folowaz" mamilion kule instagram amewanunua na wengi wao ni fake. "Kiukweli DIAMONDI hana hadhi ya kutazamwa mara M1ndani ya siku nne,labda kama amenunua vyuwaz" alisema mkoja wa wakereketwa waliochukizwa na video hiyo kutizamwa zaidi.

Naombeni mniambie hivi ni kweli mtu anaweza kununua "vyuwaz" maana me mgeni katika maswala haya ya mitandaoView attachment 371873
Ivi unajua mastaa wa tz ndo wanaogoza kuwa na followers weng in general wabongo weng wanatumia izo social networks msaan toka nigeria au south hanaweza akawa ana jina ila insta a.c yke unakuta hata 1m followers hajafika
 
Kwanza huyo dayamondi ni nani??? Na akinunua hao viewers atapata pesa???
 
Acha kumfananisha diamond na kitu cha ajabu..na pia tupunguze chuki na tupende vitu vizur na co vitu vya ajabu .tena hao viewers na followers ni wachache sana kulinganisha na uwezo wake maana anastahili zaidi ya hapo
 
Shda vijana tunakua na chiki za maendeleo wenyewe kwa wenyewe, yaaan mtu akipga hatua unataka mvuta shati...
Grow up dude...
Fanya yako.
Nukta.
 
Back
Top Bottom