Diamond Platnumz: Mimi ni kama maji usipoyanywa basi utayaoga, awaonya wanaoibania WCB

Hapana tungeishi the issue kuna watu wanawish dai afeli ili washangilie haswaa ma ex zake ndo maana anawajibu shit!!!mi sa hv nampenda mondi
Lakini nimegundua kitu kimoja ,hapa nchini hakuna wa kumlinganisha naye ndo maana sasa analinganishwa na wasanii wenye majina makubwa wa nchi nyingine kama davido
 
Diamond asiongee kwa dharau kiasi hicho, ni afadhali akakaa kimya afanye mambo yake. Mafanikio yake yataongea ila kuanza dharau na kejeli kwa wengine sio kitu kizuri.
Diamond ameongea yale maneno kwa ajili ya wasiompenda,ameongea kama dongo kwa wale wote wenye chuki naye na wanambania kwenye kupiga muziki wake,kwa hiyo yuko sawa,na hajataja jina la mtu au kikundi chochote lakini wote mnajua kwamba mondi ana bifu na baadhi ya watu na baadhi ya ofisi fulani kwa hiyo hayo ni madongo kwao
 
Sijakataa na sio kwamba sijaelewa, ila maisha haya hamna anaeijua kesho yake. Angalia watu waliokuwa na mafanikio kama Mike Tyson mpaka amefilisika.

Mimi sio mshabiki wake wala sina team, ila kama mjuzi wa mambo namshauri Diamond asipige vijembe wala asijibizane na mtu yeyote. Aendelee kukomaa kufanya mambo yake na mafanikio yake ndio yatakuwa vijembe kwa wale maadui zake.
 
Wewe una chuki na zari,kubali ukweli tu kwamba zari ni kichwa,kabla ya urithi wa ivan tayari alikuwa na shughuli zake zinazomwingizia kipato cha kutosha sana tu,ule urithi hakuung'ang'ania yeye,ni sababu tu wanawe ni wadogo wa umri na yeye ndo mzazi na mlezi basi ana jukumu la usimamizi wa mali za wanawe.acha chuki,pambana utafute vyako na wewe
 
Masikini akipata.....
Also sioni mantik ya kumkosoa
Amepata wacha atambe na hata akikosa wabaya wake watatamba!!!
 
Ana pesa kuliko Diamond
Anapiga show nyingi kuliko Diamond
Ametoa hit songs nyingi kuliko diamond na ana haters wengi kuliko diamond kutokana na umaarufu wake.
Na ndiye alo mtoa diamond kimataifa.
Davido baba yake tajiri mkubwa ni tofauti sana na diamond aliyeazia zero paka hero huyo davido ayawai kuijua shida ni nini ni watu wawili tofauti sana diamond yupo mbali sana kwa mafanikio ana lebo kubwa africa
 
Davido baba yake tajiri mkubwa ni tofauti sana na diamond aliyeazia zero paka hero huyo davido ayawai kuijua shida ni nini ni watu wawili tofauti sana diamond yupo mbali sana kwa mafanikio ana lebo kubwa africa
Unadhani utajiri wa davido karithi? Na yeye kajitengenezamea hela zake ndio maana ana hustle kila sku.
Diamond mkubwa ila si kuliko Davido
 
Kiukweli jamaa katusua ukiangalia na alikotokea,nashangaa baadhi ya watu wanamfananisha na Davido ambaye kwao zipo.

Diamond ni hardworker na ametokea kwenye sifuri na leo hii anasubiri kufanya shoo kombe la dunia.
kwahiyo wizzkid ..run town .Casper nyovest ..wamezaliwa wakakuta kwao zipo...wewe Jamaa bwana ...umeshawahi kuskia wana mashauzi yakiboya...Jamaa yenu ana paswa kuwa gentleman aiseee
 
msibabaishwe na show off zake huyo Zari zaidi ya mali za mumewe na Diamond amewai kumiliki biashara gani? ebu yoyote aseme hapa...zari kamkuta diamond ana mafanikio tayari msimpe heshma hazizostaili
Duh,naona zari akikuribia utammeza bila maji kwa chuki hiyo,
Zari alikuwa na maduka yake ya nguo kabla hata hajakutana na mondi na alikuwa akiishi maisha ya kifahari sana tu
 
kwa akili yako inavyodhani kuna mtu ambaye amewahi kufanikiwa akakosa maadui..nani huyo mtaje hap ...kwahiyo wataka kina MZee mengi ..manji ..rostam ..kikwete na watu wote waliofanikiwa waanze kukaa mbele ya media nikuwatemea shit watu wote ambao ni maadui zao ....hebu onyesha kupevuka basiiiiii
 
Yule single aliyeanzisha campaign ya kumshusha dogo naona alishakubali matokeo.
 
Unadhani utajiri wa davido karithi? Na yeye kajitengenezamea hela zake ndio maana ana hustle kila sku.
Diamond mkubwa ila si kuliko Davido
swali ni Dogo tu ..kina run town "' wizkid wote Mali wamezikuta kwao !?? kwanza kwama davido angekuwa mvivu wa kufikiri hiyo ndio ilikuwa sababu ya kubweta kwa sbabu wazazi wake siwanazo bwana ..so anatafuta ili iweje ...lakini ndio kwanza Jamaa ana hustle kama kazaliwa temeke ..pesa ..pesa na yeye daily anaachia mashuti Mara afnye ngoma na young thug ..Mara apige show babkubwa London....

davido anastahiki sifa juhudi zake sio za kubezwa ..kuna vijana wengi tu baba zao walikuwa napesa lakini waliishia kubwia unga ...
 
Ameongea vzr, binafsi nakubaliana nae. Jikubali kwanza hakuna mtu mwingine ispokua wewe!
 

Acha wivu

Eti urithi kama hukujua kwa biz zote na Ivan amekuwa hamsini hamsini tangu wazianzishe..

Dada yake Dee kayaongea.. ukitaka lia jipige vibao na kamfute machozi akiwa analia kwa kuachwa nae.. eeeeh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…