Hiyo ni sawa na msichana kulazimisha penzi toka kwa mvulana, Kenya mna matatizo ya akili, Diamond ni mfanyabiashara kama ilivyo kwa mfanyabiashara yeyote yule, anapenda sehemu yoyote iliyo na soko na biashara zake, kwanini watanzania hatupagawi kwa kusema investors wa Kenya wanaokuja kwa wingi Tanzania kwamba wanaipenda sana Tanzania?.
Miezi mitatu iliyopita alikua Rwanda, ambako alisema atafungua kiwanda cha karanga, alitaka kuonyeshwa nyumba za kununua na alisema anataka Rwanda iwe second home yake, mbona wanyarwanda hawajapagawa kama ninyi limbukeni?, hata Redio na Tv yake baada ya Tanzania, Rwanda itakuwa nchi ya pili kwenda kuzindua, lakini wanyarwanda hawapigi kelele, mna matatizo gani?.