Diamond Platnumz na Alikiba waanzisha vita ya maneno kwenye mitandao ya kijamii

Diamond Platnumz na Alikiba waanzisha vita ya maneno kwenye mitandao ya kijamii

Broadcast

Member
Joined
Jun 19, 2022
Posts
76
Reaction score
285
Vita ya maneno imezidi kushika kasi kati ya Diamond na Alikiba

Cheki hapo chini


FB_IMG_1690750544580.jpg
 
Amesema ukweli ila aache matambo. Ajifunze kwa producer wake aliyekuwa wanagombea jina la raisi wa wasafi (Bob junior)
Hii vita kaitaka Kiba mwenyewe, na hili ndo linatokea unapoanzisha vita na mtu kama Domo ambae wala hajali watu watasema nini juu yake. Maisha ya Domo ni kama open book huku ya Kiba yakiwa ya usiri mno lakini sio kwamba msafi. Akiendelea kutupiana madongo na mtu kama Domo ataishia kudhalilishwa kama hilo la kuambiwa bila shaka anafahamu habari za Domo na Amina. Hapa iwe kweli au si kweli, kwa tabia za Domo lazima watu wataamini kwamba aligonga mke wa Kiba.
 
Back
Top Bottom