Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona vita inaenda kunoga [emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasahivi hawatupi mawe gizani .Vita ya maneno imezidi kushika kasi kati ya diamond na Alikiba
Cheki hapo chiniView attachment 2703404
Wapiga yope.Hao ndo akina nani hapa nchini?
Mond kaongea ukweli ila nimependa pale anamwambia aongeze ubunifu na strategies kwenye promotion.Naona vita inaenda kunoga [emoji1787][emoji1787][emoji1787] sasahivi hawatupi mawe gizani .
Amesema ukweli ila aache matambo. Ajifunze kwa producer wake aliyekuwa wanagombea jina la raisi wa wasafi (Bob junior)Vita ya maneno imezidi kushika kasi kati ya diamond na Alikiba
Cheki hapo chiniView attachment 2703404
Kama umegundua.. Kuna mmoja anajisifia kwa muda alokaa kwenye mziki na mwingine anajisifia kimafanikioMond kaongea ukweli ila nimependa pale anamwambia aongeze ubunifu na strategies kwenye promotion.
Alikiba inabidi abadilike. Sasa hivi wanaenda sambamba na Rayvan na Mboso.
Hata asipobadilika yeye anasumbuka na nini?Mond kaongea ukweli ila nimependa pale anamwambia aongeze ubunifu na strategies kwenye promotion.
Alikiba inabidi abadilike. Sasa hivi wanaenda sambamba na Rayvan na Mboso.
Sawa timu kiba. YooHata asipobadilika yeye anasumbuka na nini?
Mbona umepanic sana? Unaniquote mara mbilimbili?Kama umegundua.. Kuna mmoja anajisifia kwa muda alokaa kwenye mziki na mwingine anajisifia kimafanikio
Kwa vile wote hao ni CCM na wanatetea kuuzwa kwa bandari,mi nawaona mafa.la tu!!Vita ya maneno imezidi kushika kasi kati ya diamond na Alikiba
Cheki hapo chiniView attachment 2703404
Diamond Kuna kipindi alitaka wapatane, mjivuni kakataa mapatano.Diamond mswahili Vs kiba ni mjivuni na jeuli watajua wenyewe.
Unajua walikoanzia?! Ali Kiba ndo kaanza kumrushia madongo Domo, tena sio mara moja na yeye ndo kaamua kumfyatulia makombora kabisa!Hata asipobadilika yeye anasumbuka na nini?
Hii vita kaitaka Kiba mwenyewe, na hili ndo linatokea unapoanzisha vita na mtu kama Domo ambae wala hajali watu watasema nini juu yake. Maisha ya Domo ni kama open book huku ya Kiba yakiwa ya usiri mno lakini sio kwamba msafi. Akiendelea kutupiana madongo na mtu kama Domo ataishia kudhalilishwa kama hilo la kuambiwa bila shaka anafahamu habari za Domo na Amina. Hapa iwe kweli au si kweli, kwa tabia za Domo lazima watu wataamini kwamba aligonga mke wa Kiba.Amesema ukweli ila aache matambo. Ajifunze kwa producer wake aliyekuwa wanagombea jina la raisi wa wasafi (Bob junior)