Diamond Platnumz na Alikiba waanzisha vita ya maneno kwenye mitandao ya kijamii

Diamond Platnumz na Alikiba waanzisha vita ya maneno kwenye mitandao ya kijamii

Kitu pekee kilicho nikasirisha ni Diamond kumuingiza Amina kwenye ugomvi wao wa kipumbavu.

furahia na hilo.

lengo lake yeye ni kusema anachojisikia.

hao mademu zake wote anarudia walikopita hao akina kiba na wengine ije kuwa habari kwa mke wa ke!!!

ndio maana kachemka huko nje maana huko ni kazi tupu drama hakuna.
 
UTOTO WA HAWA WASANII SIJAWAHI KUUELEWA WALA KUUFUATILIA.

vijana wengi WAJINGA WAJINGA mnajua kweli kumbe ni...

1.kiki.
2. Ushindani WA kibiashara.
3. Kutengeneza Content.
4. Kujaza Followers.
5. Kupiga Fedha nk.

MNAOFUATILIA HIZO HABARI ZAO WENZENU NI MARAFIKI MNO WANAWADANGANYA WAPUMBAFU NA WAJINGA.
Huwa nashangaa pia mtu mzima kukuta eti anafutalia huu ujinga. Huwa namuona kama hamnazo
 
Vita ya maneno imezidi kushika kasi kati ya diamond na Alikiba
Cheki hapo chiniView attachment 2703404
Nyie mnajuwana, msitudanganye.

Rudini kwa Allah. Watoto wa Kiislam kumtumikia shetani wala hayo mnayoyapata siyo mafanikio, mnajikusanyia kuni tu za motoni.

Wasanii wakubwa duniani wanasilim, nyie mmebaki na ujinga wenu tu.


Mfyuuuuuuui.
 
I strongly believe Ali na Naseeb ni marafiki wazuri mno lakini kwa sabbu soko la muziki wa kidunia linataka hizi habari hakuna namna bali kuigiza. Basi freshhiii
Nakubaliana na hili Madame, sababu Marioo kapost clip hao kina Naseeb and the Co. wanacheza na kuimba Sumu ya huyo Ali na mwenzie, kama ingekuwa wana hilo beef kweli sidhani kama hata hilo lingewezekana..
 
Kwa wanaomchukia Diamond watamdhihaki na kumtukana ila kaandika kweli.

Ali Kiba kajijengea fikra moja kuwa yeye ni bora kuliko wanamuziki wote Tanzania, fikra hii haikisi uhalisia wa maisha yake kimuziki.

Inawezekana akawa ni mwanamuziki mzuri lakini sio mzuri kuliko wengine wote.

Na kwa kiasi kikubwa mno uwepo wa Ali Kiba unategemea uwepo wa Diamond. Na ndio maaan Ali Kiba hatokuja kukubali suluhu na Diamond maana anajua hapo atakuwa keshapoteza kiki yote inayomuweka mjini.
Sasa wewe usijikubali. Usiamini wewe ni best katika unachofanya. Settle for mediocrity. Thats one for you not Kibakuli
 
Back
Top Bottom