Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitu pekee kilicho nikasirisha ni Diamond kumuingiza Amina kwenye ugomvi wao wa kipumbavu.
Huwa nashangaa pia mtu mzima kukuta eti anafutalia huu ujinga. Huwa namuona kama hamnazoUTOTO WA HAWA WASANII SIJAWAHI KUUELEWA WALA KUUFUATILIA.
vijana wengi WAJINGA WAJINGA mnajua kweli kumbe ni...
1.kiki.
2. Ushindani WA kibiashara.
3. Kutengeneza Content.
4. Kujaza Followers.
5. Kupiga Fedha nk.
MNAOFUATILIA HIZO HABARI ZAO WENZENU NI MARAFIKI MNO WANAWADANGANYA WAPUMBAFU NA WAJINGA.
Kama na mimi naliona hili kila mmoja anamvimbia mwenzie🤔Kama umegundua.. Kuna mmoja anajisifia kwa muda alokaa kwenye mziki na mwingine anajisifia kimafanikio
Sasa kama aliuchakata asisemeKitu pekee kilicho nikasirisha ni Diamond kumuingiza Amina kwenye ugomvi wao wa kipumbavu.
Ni michongo ya kutupoteza hapa cccm washafeliHao wote ni wana CCM kindakindaki
Chanzo cha haya yote ni mkataba wa Bandari na DP WORLD
Aina ya majibizano yao unaona kabisa ni mipango
Nyie mnajuwana, msitudanganye.Vita ya maneno imezidi kushika kasi kati ya diamond na Alikiba
Cheki hapo chiniView attachment 2703404
Watu wametoa single ni njia ya kuiboost iende hapo ndio ubunifu anaosema wa promosheni anaousemaSasa kwanini wasiambiane inbox huko?
Huu ni mchezo wa kufanya wasichuje......shtukeni nyie washangiliaji
Mimi alikiba nyimbo zake nazipenda kuliko za diamond ila kazidiwa vitu vingi sana na diamond mfano uthubutu, aggresiveness, kutokuridhika n.k in short diamond amemzid mafanikio mengi sana alikibaKiba ni mjivuni, jeuri na mswahili zaidi ya Diamond. Wamekutana pipa na mfuniko.
Imekua taarab sasaVita ya maneno imezidi kushika kasi kati ya diamond na Alikiba
Cheki hapo chiniView attachment 2703404
Nakubaliana na hili Madame, sababu Marioo kapost clip hao kina Naseeb and the Co. wanacheza na kuimba Sumu ya huyo Ali na mwenzie, kama ingekuwa wana hilo beef kweli sidhani kama hata hilo lingewezekana..I strongly believe Ali na Naseeb ni marafiki wazuri mno lakini kwa sabbu soko la muziki wa kidunia linataka hizi habari hakuna namna bali kuigiza. Basi freshhiii
Dada umeandika pumbaMond kaongea ukweli ila nimependa pale anamwambia aongeze ubunifu na strategies kwenye promotion.
Alikiba inabidi abadilike. Sasa hivi wanaenda sambamba na Rayvan na Mboso.
Habari mama Dii[emoji57][emoji57][emoji57]
Sawa shangazi. Mchepuko wake KibaDada umeandika pumba
Sasa wewe usijikubali. Usiamini wewe ni best katika unachofanya. Settle for mediocrity. Thats one for you not KibakuliKwa wanaomchukia Diamond watamdhihaki na kumtukana ila kaandika kweli.
Ali Kiba kajijengea fikra moja kuwa yeye ni bora kuliko wanamuziki wote Tanzania, fikra hii haikisi uhalisia wa maisha yake kimuziki.
Inawezekana akawa ni mwanamuziki mzuri lakini sio mzuri kuliko wengine wote.
Na kwa kiasi kikubwa mno uwepo wa Ali Kiba unategemea uwepo wa Diamond. Na ndio maaan Ali Kiba hatokuja kukubali suluhu na Diamond maana anajua hapo atakuwa keshapoteza kiki yote inayomuweka mjini.