Mwamaleki
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 727
- 2,969
Kipindi anaimba sinderela alikua na beef na nani aongelewe? Umeongea kama papasiAnajua wakipatana ndio mwisho wake wa kuongelewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipindi anaimba sinderela alikua na beef na nani aongelewe? Umeongea kama papasiAnajua wakipatana ndio mwisho wake wa kuongelewa.
Hawa washajua kuwa Diamond hata akilinganishwa na Harmonize, hapati ile attention kwa sababu wote wamefanana almost kila kitu kiasi audience zao is almost the same.. Ila kwa kiba ni tofauti, ana personality, lifestyle, muziki na mashabiki wake tofauti kidogo kwa hiyo kutupiana vijembe inakuwa na attention kubwa zaidi.Nakubaliana na hili Madame, sababu Marioo kapost clip hao kina Naseeb and the Co. wanacheza na kuimba Sumu ya huyo Ali na mwenzie, kama ingekuwa wana hilo beef kweli sidhani kama hata hilo lingewezekana..
Dada mondi ni kijana wa hovyo asiyeheshimu wanawakeKitu pekee kilicho nikasirisha ni Diamond kumuingiza Amina kwenye ugomvi wao wa kipumbavu.
Yeahhh ni kweli, na hata ile clipp kina mond, abdu kiba na jux walikuwa Wana cheza sumu ya kibaHawa washajua kuwa Diamond hata alinganishwa na Harmonize, hapati ile attention kwa sababu wote wamefanana almost kila kitu kiasi audience zao is almost the same.. Ila kwa kiba ni tofauti, ana personality, lifestyle, muziki na mashabiki wake tofauti kidogo kwa hiyo kutupiana vijembe inakuwa na attention kubwa zaidi.
Ali kiba nae hachukuliwi kama epitome ya commercial success ndio maana wasanii hawalinganishwi nae mara kwa mara in exception of Platnumz, Kwa hiyo wote wamejipata, wacha watumiane japo kwenye madongo wanatemeana nyongo za ukweli kias i😁😁😁
Wasanii wakubwa duniani wanasilim, nyie mmebaki na ujinga wenu tu.
Mfyuuuuuuui.
NakaziaKiujumla kuingiza mwanamke kwenye ugomvi wenu nyie wanaume huo NI ujinga hata kama ulipita Ila mwanamke wa mtu anapaswa aheshimiwe tu na hii inaonyesha Diamond ana ujinga kichwani kwake japo NI mshikaji wangu kitambo
Wacha waendelee na 'uswahili' wao huku wanaijeria wanazidi kupaa Kimataifa huko, wanajaza ma arena, wanapata tuzo bila kusahau collabo kila siku na wasanii wakubwa duniani.Kabisa hata wanachobishana hakina kichwa wala miguu zaidi ya mafanikio ya nyumbani wakitoka nje ya Tanzania hata sio wasanii wakubwaa ambao wanaweza jaza watu.
nakazia aisee, mondi mkubwa tu hapa tz huko kwingine hamna lolote hata sauti sol ni boraAlidai yeye ni wa intaneshno ajabu karudi kubishana na loko atists,
Wenye intaneshno yao wanajaza tu maarena.
Kanisome tena hujanielewa.Kwamba dini tukufu ya kiislam inahitaji wasanii wakubwa kuii endorse? Kwa hapa umepotoka bi mkubwa
Sauti sol ile level nyingine mzee,nakazia aisee, mondi mkubwa tu hapa tz huko kwingine hamna lolote hata sauti sol ni bora
tatizo la wabongo ndio hili sasa. Sasa kumithilishana na wadudu ya nini?Kipindi anaimba sinderela alikua na beef na nani aongelewe? Umeongea kama papasi
Bado inabidi wapigane biti, ikibidi hadi kukabana masharti ili mziki wa mashairi ya kupondana yaanze upya, siku hizi kumepoa mno...🤔🤔Vita ya maneno imezidi kushika kasi kati ya diamond na Alikiba
Cheki hapo chiniView attachment 2703404
Upumbavu huu..Vita ya maneno imezidi kushika kasi kati ya diamond na Alikiba
Cheki hapo chiniView attachment 2703404
Nikajua peke yangu ndio sielewi elewi kumbe rupo wengi.Hao ndo akina nani hapa nchini?
Kabisa mkuuYeahhh ni kweli, na hata ile clipp kina mond, abdu kiba na jux walikuwa Wana cheza sumu ya kiba
View attachment 2703682
Huu sasa karibu mwaka wa 6 mnamwambia Ali kiba abadilike, jamaa yupo vilevile na Bado hamlalai mnamuwaza, hivi kwanini msishimdanishe Domo na jux au Barnaba, Kila siku kiba na jamaa yenu anaingia king Kwa [emoji146] kiba, ndo ujue kiba n mtu hatar na ndo maana anasumbua akili ya Domo days and night, tangu tumeakbiwa kiba abadilike mwaka wa 100 sasa na Bado anawanyima Raha, mshindanishen na konde bas kwan msanii ni kiba tu?????Mond kaongea ukweli ila nimependa pale anamwambia aongeze ubunifu na strategies kwenye promotion.
Alikiba inabidi abadilike. Sasa hivi wanaenda sambamba na Rayvan na Mboso.
Hapo sasa...Mbona kama anaumia sana pamoja na kumzidi vyote hivyo anavyodai