Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Mwanamuziki wa kimataifa grade one kutoka nchini Tanzania Diamond Platinums kutokana na kuteswa kimapenzi kila kukicha na walimbwende , ndugu ,jamaa na marafiki wa karibu wameamua kukaa kitako na kumshauri ampose mwanadada mwenye heshima zake na mwenye kila kigezo cha kuitwa mke ili amtulize Diamond Platnums kwenye suala zima la mapenzi na kujenga naye familia isiyo teteleka.
Ndugu wamependekeza Diamond akampose mwanadadsa Caster Semenya bingwa wa Olympic katika masuala ya riadha.
Ndugu wamependekeza Diamond akampose mwanadadsa Caster Semenya bingwa wa Olympic katika masuala ya riadha.