Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
hapana davido kaanza kutukanwa toka BBA alivyoshinda idrissa na dai ndo akachangia zaidi mitusi cc tumtukane davido (katufanyaje team kiba ) ila kawaumbua nendeni mkaombe msamaha
so hawa uliowasreen shoot hapa ni team diamond??? manke unavyotembea na hii screen shoot kwenye gallary yako,kam vile unatamani unsendie tena davido umkumbushe!!?? kwenye msafara wa mamba na kenge nao wamo, hawa ni mamluki tu walioamua kuchafua hali ya hewa ili kumchafulia diamond ndio maana there after now wapo bize kumkumbusha davido kuwa wapenzi wa dai walikutukana walikutukana ndio umekuwa wimbo wenu nao, ila yalivyowashuka hadi huruma davido kaziba maskio mapenzi yake kwa mond kama kawa.