nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,903
Dakika 15 ndo imekuwa kifo?Diamond na Juma Jux.
Wanusurika kifo kwenye lifti siku ya Leo baada ya Lift kukwama kwa Dk 15...
Kwasababu kifo ni tukio la sekunde tuNa wanapenda magazeti yan kalift kamenasa dk 2 tu!!! Maerezo top,Wenzao iliporomoka kabisa na walikausha..
Kwa hiyo unatetea hilo Tukio.Na wanapenda magazeti yan kalift kamenasa dk 2 tu!!! Maerezo top,Wenzao iliporomoka kabisa na walikausha..
Lifti haiui kwani mzee kuna Oxygen reservours kwani?Kunusurika kifo kwenye lifti... Hiii nchi ina maajabu
Sasa Hawajanusurika kwani ?Hitilafu kidogo tuu naanza kusema mmenusurika kufa, watu wa Dar hata manyunyu tuu anaanza kuwalaumu mamlaka ya hali ya hewa kwann hawakutoa taarifa
Unawapangia watu kufaDakika 15 ndo imekuwa kifo?
Watu wananasa masaa 6..
Hili swala watalizungumzia mwezi mzima, na watafanya hadi party ya kunusurika kifo na party hiyo itakwenda kwa jina la Surviving partyNa wanapenda magazeti yan kalift kamenasa dk 2 tu!!! Maerezo top,Wenzao iliporomoka kabisa na walikausha..
Yea ilikuwa Makumbusho hiiNa wanapenda magazeti yan kalift kamenasa dk 2 tu!!! Maerezo top,Wenzao iliporomoka kabisa na walikausha..
Nimecheka sana jamaa et naye kanusurika kifo..Kunusurika kifo kwenye lifti... Hiii nchi ina maajabu
Hv unawajua wasanii vzr na akili zao.? Hasa huyo mond.? Huyo jamaa alishasema hanaga shughuli ndogo kila kitu kwake lazima akipe ukubwa