Tissaphernes
JF-Expert Member
- Mar 27, 2018
- 2,902
- 3,560
Hata wangekufa hakuna ubaya maana watazaliwa wengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaogopa kifo lakini hawana hofu na aliyewaumba.Hata walipotoka salama hakuna kushukuru.Diamond na Juma Jux.
Wanusurika kifo kwenye lifti siku ya Leo baada ya Lift kukwama kwa Dk 15.
Star Wa Muziki Africa [emoji881] diamondplatnumz Ameweka Wazi Kunusurika Kifo Kwenye Lift Akiwa Pamoja Na Juma_jux Na Watu Kadhaa. #Diamond Ame-Share Video Namna Tatizo Lilivyotokea Wakiwa Kwenye Lift Hiyo Na Kuandika [emoji116]
"Siku ya Leo mimi Juma_jux @fole_x na wenzetu kadhaa tumenusurika kifo kwenye Lifti.... Ndugu zangu wenye majengo marefu yenye kutumia Lifti tujitahidi kuzifanyia serivices hizi lifti zetu ili kuepusha madhara kwa Wananchi" - Diamond Platnumz
Maisha ya wasanii ukiyafuatilia sana yatakuchosha hiyo kwao wanaiita ni fashion 🤣🤣🤣Kavaa chupi tu eti loh
Sijaona vijana wakiiga hii fashion, sijui kwaniniMaisha ya wasanii ukiyafuatilia sana yatakuchosha hiyo kwao wanaiita ni fashion 🤣🤣🤣
Kuna wengine uku mtaani wanaiiga hasa hiyo ya kutembea na vibukta vifupi sanaSijaona vijana wakiiga hii fashion, sijui kwanini
Hiyo ya kibukta kifupi kuna shemeji yangu mmoja alivaa, hiyo siku niliona aibu mie, yaani bukta fupi kuliko boxer unayoijua wewe.Kuna wengine uku mtaani wanaiiga hasa hiyo ya kutembea na vibukta vifupi sana
Mimi hii tabia inanikera acha tu alafu wanajikuta ndio mabishoo wenyewe kuna wengine tutakutana nao kwenye madaladalaHiyo ya kibukta kifupi kuna shemeji yangu mmoja alivaa, hiyo siku niliona aibu mie, yaani bukta fupi kuliko boxer unayoijua wewe.
AKawa anaivutavuta kuishusha kama vile madem wanaovaa nguo fupi wanavyofanyaga.
Wangedanja tu,huenda tungepungukiwa na wanaotumomonyolea maadili kwenye jamii yetu🤔Diamond na Juma Jux.
Wanusurika kifo kwenye lifti siku ya Leo baada ya Lift kukwama kwa Dk 15.
Star Wa Muziki Africa [emoji881] diamondplatnumz Ameweka Wazi Kunusurika Kifo Kwenye Lift Akiwa Pamoja Na Juma_jux Na Watu Kadhaa. #Diamond Ame-Share Video Namna Tatizo Lilivyotokea Wakiwa Kwenye Lift Hiyo Na Kuandika [emoji116]
"Siku ya Leo mimi Juma_jux @fole_x na wenzetu kadhaa tumenusurika kifo kwenye Lifti.... Ndugu zangu wenye majengo marefu yenye kutumia Lifti tujitahidi kuzifanyia serivices hizi lifti zetu ili kuepusha madhara kwa Wananchi" - Diamond Platnumz
Walamba lips hao watajuaje hiyoLifti haiui kwani mzee kuna Oxygen reservours kwani?
Sent from my SO-01L using JamiiForums mobile app
Kitaandaliwa kipindi kabisaHili swala watalizungumzia mwezi mzima, na watafanya hadi party ya kunusurika kifo na party hiyo itakwenda kwa jina la Surviving party
EhhhNimekua suffocated, anxiety, panic attack, vyote vimechanganyika kwa kuangalia hiyo video tu,
Pole yao kwa kweli
Hivi umewahi kuvunja biscuit kwa meno kweli wewe?Diamond na Juma Jux.
Wanusurika kifo kwenye lifti siku ya Leo baada ya Lift kukwama kwa Dk 15.
Star Wa Muziki Africa [emoji881] diamondplatnumz Ameweka Wazi Kunusurika Kifo Kwenye Lift Akiwa Pamoja Na Juma_jux Na Watu Kadhaa. #Diamond Ame-Share Video Namna Tatizo Lilivyotokea Wakiwa Kwenye Lift Hiyo Na Kuandika [emoji116]
"Siku ya Leo mimi Juma_jux @fole_x na wenzetu kadhaa tumenusurika kifo kwenye Lifti.... Ndugu zangu wenye majengo marefu yenye kutumia Lifti tujitahidi kuzifanyia serivices hizi lifti zetu ili kuepusha madhara kwa Wananchi" - Diamond Platnumz
[emoji23][emoji23]Hitilafu kidogo tuu wanaanza kusema mmenusurika kufa, watu wa Dar hata manyunyu tuu anaanza kuwalaumu mamlaka ya hali ya hewa kwann hawakutoa taarifa