Diamond Platnumz na Jux wakwama kwenye lift kwa dakika 15

Diamond Platnumz na Jux wakwama kwenye lift kwa dakika 15

Inabidi ma engineer/wathibiti ubora majengo wa bongo wanyongwe kama wale wa Uturuki
 
Diamond na Juma Jux.

Wanusurika kifo kwenye lifti siku ya Leo baada ya Lift kukwama kwa Dk 15.

Star Wa Muziki Africa [emoji881] diamondplatnumz Ameweka Wazi Kunusurika Kifo Kwenye Lift Akiwa Pamoja Na Juma_jux Na Watu Kadhaa. #Diamond Ame-Share Video Namna Tatizo Lilivyotokea Wakiwa Kwenye Lift Hiyo Na Kuandika [emoji116]

"Siku ya Leo mimi Juma_jux @fole_x na wenzetu kadhaa tumenusurika kifo kwenye Lifti.... Ndugu zangu wenye majengo marefu yenye kutumia Lifti tujitahidi kuzifanyia serivices hizi lifti zetu ili kuepusha madhara kwa Wananchi" - Diamond Platnumz

Ni akina nani? Nyie mabint/madogo yaani jamaa zenu wakipata tu changamoto mnapost JF utadhani sisi sote tuna mahusiano nao.
 
Diamond na Juma Jux.

Wanusurika kifo kwenye lifti siku ya Leo baada ya Lift kukwama kwa Dk 15.

Star Wa Muziki Africa [emoji881] diamondplatnumz Ameweka Wazi Kunusurika Kifo Kwenye Lift Akiwa Pamoja Na Juma_jux Na Watu Kadhaa. #Diamond Ame-Share Video Namna Tatizo Lilivyotokea Wakiwa Kwenye Lift Hiyo Na Kuandika [emoji116]

"Siku ya Leo mimi Juma_jux @fole_x na wenzetu kadhaa tumenusurika kifo kwenye Lifti.... Ndugu zangu wenye majengo marefu yenye kutumia Lifti tujitahidi kuzifanyia serivices hizi lifti zetu ili kuepusha madhara kwa Wananchi" - Diamond Platnumz

Hizo kwapa zitakuwa zilitema balaa kwenye iyo confinement.
 
Hili swala watalizungumzia mwezi mzima, na watafanya hadi party ya kunusurika kifo na party hiyo itakwenda kwa jina la Surviving party
Surviving party [emoji322][emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji322]
 
Kukwama kwenye lift dk 15 ndio kelele kibao mitandaoni? Je habari za wajawazito wanokuwa na prolonged labor saa kibao nao wasemeje?
Wanaume wa Dar bwana!
 
Msiwege mnapandaga kwenye malift ndugu zangu vita ya kiuchumi ni kubwa mno
 
Nimekua suffocated, anxiety, panic attack, vyote vimechanganyika kwa kuangalia hiyo video tu,

Pole yao kwa kweli
 
Back
Top Bottom