Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni akina nani? Nyie mabint/madogo yaani jamaa zenu wakipata tu changamoto mnapost JF utadhani sisi sote tuna mahusiano nao.Diamond na Juma Jux.
Wanusurika kifo kwenye lifti siku ya Leo baada ya Lift kukwama kwa Dk 15.
Star Wa Muziki Africa [emoji881] diamondplatnumz Ameweka Wazi Kunusurika Kifo Kwenye Lift Akiwa Pamoja Na Juma_jux Na Watu Kadhaa. #Diamond Ame-Share Video Namna Tatizo Lilivyotokea Wakiwa Kwenye Lift Hiyo Na Kuandika [emoji116]
"Siku ya Leo mimi Juma_jux @fole_x na wenzetu kadhaa tumenusurika kifo kwenye Lifti.... Ndugu zangu wenye majengo marefu yenye kutumia Lifti tujitahidi kuzifanyia serivices hizi lifti zetu ili kuepusha madhara kwa Wananchi" - Diamond Platnumz
Wewe Fala umefuata nini hili jukwaa la.vijana ...nenda.mkajadili mkataba wa bandari na wazee wenzako jukwaa la siasaNi akina nani? Nyie mabint/madogo yaani jamaa zenu wakipata tu changamoto mnapost JF utadhani sisi sote tuna mahusiano nao.
Hizo kwapa zitakuwa zilitema balaa kwenye iyo confinement.Diamond na Juma Jux.
Wanusurika kifo kwenye lifti siku ya Leo baada ya Lift kukwama kwa Dk 15.
Star Wa Muziki Africa [emoji881] diamondplatnumz Ameweka Wazi Kunusurika Kifo Kwenye Lift Akiwa Pamoja Na Juma_jux Na Watu Kadhaa. #Diamond Ame-Share Video Namna Tatizo Lilivyotokea Wakiwa Kwenye Lift Hiyo Na Kuandika [emoji116]
"Siku ya Leo mimi Juma_jux @fole_x na wenzetu kadhaa tumenusurika kifo kwenye Lifti.... Ndugu zangu wenye majengo marefu yenye kutumia Lifti tujitahidi kuzifanyia serivices hizi lifti zetu ili kuepusha madhara kwa Wananchi" - Diamond Platnumz
Surviving party [emoji322][emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji322]Hili swala watalizungumzia mwezi mzima, na watafanya hadi party ya kunusurika kifo na party hiyo itakwenda kwa jina la Surviving party
Dakika 15 ndo imekuwa kifo?
Watu wananasa masaa 6..
Interesting...Dakika 15 ndo imekuwa kifo?
Watu wananasa masaa 6..
🤣🤣🤣🤣Wewe Fala umefuata nini hili jukwaa la.vijana ...nenda.mkajadili mkataba wa bandari na wazee wenzako jukwaa la siasa
Sent from my SO-01L using JamiiForums mobile app
Nlikuwa naangalia kama limeandikwa jukwaa la vijana sijaona. Mbona umekasirika sana? Wanawake wa hivi bado mpo? Mnapigania waume wenu kiasi hiki?Wewe Fala umefuata nini hili jukwaa la.vijana ...nenda.mkajadili mkataba wa bandari na wazee wenzako jukwaa la siasa
Sent from my SO-01L using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mbona hajavaa nguo?
Kavaa chupi tu eti loh🤣🤣🤣🤣🤣🤣