Si alinifunza mapenzi, nlikiwa cjui kamwambie.. Akadekeza kishenzi na nyimbo nzur nimwibie.. So asidanganywe na gari burudani na fedha, Mimi akanichukia... Kamwambie
Af ile kuwa uone nilidhani magorofa.. Aaah na kumbe Mwana ukome hakuna cha kuokota, me bado nakaza moyo kpenz Chang, ila naumia kwakuwa mwenyewe... Mambo bdo magumu kwang, naztafuta nije kula nawewe.. Uki ukilala lalasalama
Tate Tate aah kinachoniuma niuma ni mazoea yanayofanya nikeshe ucku na mchana, aah umate umate aah mbele na nyuma nikingojea ooh uwenda ikabadili mfupa kuwa nyama.. Nitakukumbuka
Hapo bdo kuna chandachema, nitampata wapi, mawazo, moyo wang , mbagala, nitarejea, mapenzi basi, kizaizai, nataka kulewa, moyo wang, ukimwona, kesho, hellow, nimpende nani, kwanini, twashindwana, nalia na mengi, nataman na nyinginezo..
Mondi kuhusu mapenzi anangoma nyingi sana Kali na ndo zilzompa jina kuwa hapa nyumban na kwa hizi za sasa ni vice versa, mwenyewe anasema kupenya kwa wenzetu ni ngumu sana lazma uwaletee ujanja ujanja na ndo mana anatoba.. Ila kimsing kwa nyimbo za kinyumbani mondi balaaa