Mafiningo
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 4,435
- 4,662
Afadhali Samatta kafanya jambo ambalo halijawahi fanywa na mtz yeyote na pia ye binafsi ana heshima,, hivyo anastahili heshima ya taifa.[emoji818]
Lakini huyu diamond mzee wa vijembe na figisu haonyeshi kama ana heshima zaidi ya fitina, hastahili heshima ya taifa bali team yake wafikirie watakavyomuenzi[emoji808]
Lakini huyu diamond mzee wa vijembe na figisu haonyeshi kama ana heshima zaidi ya fitina, hastahili heshima ya taifa bali team yake wafikirie watakavyomuenzi[emoji808]