Diamond Platnumz na vito vya thamani kwenye meno

Sasa hivi anaongea tofauti na uhalisia wake ili meno yaonekane.

Yani sijui kwanini watu wa Arusha wenye meno ya brown wanajiona wana mkosi wakati kuna watu wanatumia mamilioni kutaka kuwa ka wao.


View attachment 353284
Ahakikishe procedure zote anazofanya ziwe reversible. Asije akajuta kama king of pop.
 
Jamaa namkubali kwenye focus nzima ya business ila hapa kwenye meno kaboronga, this is nonsense, ni kiburi cha hela, meno ya dhahabu ya nini sasa?

Kuna vitu vya kuiga ila hili si mojawapo, kama anajidanganya kua yanamletea uzuri ajiangalie kwenye kioo. Unless awe anaumwa hiyo iwe njia tu ya kushikiza meno yajirudi kwenye hali yake.
 
Jamani mie mshamba na kuuliza sio ujinga ni kuongeza elimu....naomba kueleweshwa hivi hayo meno machafu ili yawekwe yale origin yanatolewa ama wanafanyaje?pliiz kwa anaejuwa wakuu aniondoe ushamba.
No urembo tu, memo yako yapo pale pale,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…