Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
Mtoto wako mfunze mwenyewe na kazi ya Sanaa/fasihi ina kazi nyingi ikiwemo kuburudisha sawa so be careful with your heart.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fact hapa kakaSasa kama unataka muziki unaokaa miaka 20 si uende ukasikilize hao Westlife...
Fact kaka ngoma ni internationalNgoma ni kali. nenda kwenye instagram ya mondi ukaone maandalizi ya video utakuja kufuta kauli yako hapa.
"But not every thing is for everybody"
So siwezi nikakupinga
Tatizo ni kwamba huwezi ukaacha kuwasikiliza maana ni Kama maji usipoyanywa it's yaoga au kuyachambia.Muziki wa hawa jamaa unakera masikioni..na wasanii wengine uchwara nao wanawaiga
Cha msingi ni kutokuwasikiliza kama huwaelewi
Fact wcb chama laonot every thing for everybody
Mkuu. Hawafanyi kazi kukufurahisha wewe bali hadhira yao.
Kama nyimbo zinapotea baada ya wiki,kwa nini wao ndo wanaongoza kwa streams katika digital platforms hapa bongo???
Hii ni sawa na mashabiki wa tim fulani hivi. Utasikia eti nyimbo zake haziishi utamu halafu wamezitelekeza mitandaoni huko sijui wanasikiliziaga offline?????
Sio kila kitu kipo kwa ajili yako mkuu. we komaa tu na kina r Kelly hao otherwise utajitesa bure.
Unaupimaje huo muda? Wewe unaweza ukaona haziishi but kwangu zinaishi, na je Kama haziishi mbona zinaongoza kwa kutazamwa na streams zaidi hapa bongo na duniani...?tumpe mda na yeye atapita ila historia yake itakuwa hivi DAIMOND NDIO MSANII ALIEWEZA KUTOA NYIMBO ZINAZOPOTEZA RADHA NDANI YA WIKI kwahy mtoa mada hakuna namna tumuache
Kalale kibakuli mzee weweKwa kweli
Hapa hatutaki hoja,na Kama unataka hoja nenda ukafundishe au kwenye mijadala mtoto wakiume kutaka kuelimishwa huko nako KWIO.Majibu ya kike haya, dunia ya sasa ni ya ushindani wa hoja, umiza kichwa mtoto wa kiume, pinga kwa hoja mjini hapa ukiwa laini laiin hiv ni hatari
Wewe sio WCB ,maana WCB ni die hard fan ko tupotezeee chama laooooooooooooo.Sijui jamaa wameeidhika au vipi Ila kiukweli sikuhizi wanatoa nyimbo mbovu sana,hapa nauweka u wcb pembeni,kwa hadhi ya diamond hastahili kutoa nyimbo za aina hii
Mbona anaimba sema hazipi promo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa mara ya kwanza hajatokea mpuuzi wa kusema "hata Ali Kiba anaimba matusi ila hapendi show off"...
Kwahyo ukiwa wcb huwezi kujua hiki kibovu na hiki kizuri?Wewe sio WCB ,maana WCB ni die hard fan ko tupotezeee chama laooooooooooooo.
Unaijua maana ya die hard fans kwanza...???Kwahyo ukiwa wcb huwezi kujua hiki kibovu na hiki kizuri?
For sure maana tunatofautiana sanaMuziki wa hawa jamaa unakera masikioni..na wasanii wengine uchwara nao wanawaiga
Cha msingi ni kutokuwasikiliza kama huwaelewi
umenena mkuuKwanza kabisa WCB sio kundi,Bali ni record label,afu kuhusu kukukosea ni wewe na sio wote na kwangu nyimbo zao Zina dumu Sana au una changanywa na hayo makundi ya kizungu kwasababu ya lugha ya kigeni wakati wazungu wenyewe wanazichoka,so calm down dawa ikuingie AMABOKO/AMABHOKO=MIKONO IKO NUMBER MOJA TRENDING YOUTUBE NA NIA AUDIO TU ,SO SUBIRI VIDEO IN 24 HOURE 1M VIEWERS NDO UTAJUA WATU HAWACHOSHWI MASIKIO YAO.
Acha ushamba wa Kigoma weweTatizo ni kwamba huwezi ukaacha kuwasikiliza maana ni Kama maji usipoyanywa it's yaoga au kuyachambia.
[emoji23]Just Audio, na ni namba moja YouTube chini ya saa 24!!
Inakera sana lakini inahitaji uvumilivu kwa msiowapenda WCB!!