tumpe mda na yeye atapita ila historia yake itakuwa hivi DAIMOND NDIO MSANII ALIEWEZA KUTOA NYIMBO ZINAZOPOTEZA RADHA NDANI YA WIKI kwahy mtoa mada hakuna namna tumuache
Kojoa ukalale dogo sawa AMABOKO IKO NUMBER ONE TRENDING YOUTUBE FOR 1 DAYS WITH 460+VIEWS RECORD BREAKINGS.
WCB hakunaga nyimbo mbovu kwanza,pili Kama unaipenda WCB usingediliki kusema mbovu,tatu Kama ni mbovu isingekuwa number moja trending,nne Kama ni mbovu usingeijuwa hata jina,tano hakuna ngoma Kali Kama AMABOKO 2020 sawa,mwisho WCB ni Kama maji.Wimbo mbovu wa wcb kuliko zote za mwaka huu
Kubali tu
Hata mimi napenda nyimbo za wcb, ila huu umelipuliwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unachekesha sana,badala useme alikiba ndo amwajili mtunzi,eti unasema diamond kweli MFUNIKO NA PIPA MMEKUTANA,hakuna Kama diamond SIMBA na ataendelea kuwalambisha jaramba so kaeni kimya SIMBA BABA LAOOO,WCB CHAMA LAOOOOO.Sure ila diamond wa kutoka 2017 kurudi nyuma nyimbo zake zinaishi
Hili lilitegemewa baada ya kukimbilia ku modify nyimbo za watu akazikuza kakosa za kwake za kutunga
Solution amwajiri mtunzi
Ujaelewa Nini kiazi weweOne DAYS ???!!!!!
We jamaa niaje..Majibu ya kike haya, dunia ya sasa ni ya ushindani wa hoja, umiza kichwa mtoto wa kiume, pinga kwa hoja mjini hapa ukiwa laini laiin hiv ni hatari
Fact WCB CHAMA LA WANA.We jamaa kavu sana...
Hilo ni jibu rahis sana kwa mtu kama ww...kwann uumize kichwa chako kumtaka msaanii akuimbie nyimbo ikae miaka 20 sokon? Demand ya mzik anaijua yeye na sio ww,mzik ni biashara,unataka afanye nini akuridhishe wew shabik mmoja wakat the rest wanataka hizo hizo ngoma za wiki moja na pesa anapata nzur tu...
Nitajie msaani saiz anaetoa ngoma ya kukaa miaka 20,,hao unaowaita westlife sijui wako wapi sasa? Juzi japo walijarbu kurud na ngoma zao hizo za kuish miaka 20 lakin kikwap? Game imechange...
Mwanaume kulilia mwanaume mwenzio akuimbie nyimbo ya miaka 20 that weird bro[emoji3] ,ww unalijua soko la Diamond? Ww unajua mashabik wake wanataka nin kuliko yeye mwenyew?
Sasa nakushaur tena... ingia YouTube, search westlife,pakua ngoma zao zote kisha enjoy mzik wa miaka 20 mkuu[emoji3]..usiumize kichwa chako kwa hao wcb
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unachekesha sana,badala useme alikiba ndo amwajili mtunzi,eti unasema diamond kweli MFUNIKO NA PIPA MMEKUTANA,hakuna Kama diamond SIMBA na ataendelea kuwalambisha jaramba so kaeni kimya SIMBA BABA LAOOO,WCB CHAMA LAOOOOO.
Nashangaa basata wanavyojifanya hawaelewi... Wcb hawana tafsida yeyote zaidi ya UFIRAUHNI tuu.Dah hongera kwa kuwa na ustahimilivu wa kusikiliza ngoma zao. Hawa jamaa kiukweli nyimbo zao sizielewagi maana hazizungumzii dhamira ya mapenzi kama hisia za upendo na kujali, bali zina central theme ya kuhamasisha ngono mwanzo mwisho. Nyingine zimeenda mbali kuhamasisha na kutukuza kushiriki ngono kinyume na maumbile. Nyimbo zao na baadhi ya bongofleva zina mchukulia mwanamke kama sex object ambaye she always needs to be fuc**d Muda wowote
Sawa hata kama wanaimba kile jamii inataka lakini wamezidisha sana kiasi kwamba mmomonyoko wa maadili unanitafuna jamii haswa ya vijana na mabinti.
Mnisamehe kwa haya nlioyasema ila ndio ukweli wa mambo, na uhalisia uliopo.
600k+ than any audio before means record breaking in AFRICA.Trending no.1, viewers wangapi?
Wewe ufirahuni wako umeuweka wapi au unazania hatujui unavyotuharibia watoto wetu..?Nashangaa basata wanavyojifanya hawaelewi... Wcb hawana tafsida yeyote zaidi ya UFIRAUHNI tuu.
Jamaaa wanaharibu jamii yetu saaana
FACT WCB CHAMA LAOOOOOOOO.Ucnijumlishe n mm kwakua wananikoshaaaaa WCB 4life