Diamond-Platnumz na Wema Sepetu(MAMA 2014) walitisha, couple zuri sana

Diamond-Platnumz na Wema Sepetu(MAMA 2014) walitisha, couple zuri sana

Watu mnashindwa kusema
ukweli na ndio mnao potosha watu wengine.Huyo ndomo watu hawachukii au
hawana wivu na music wake,watu hawapendi life style ya scandal scandal
wakati wote tena zote ni za chupini.Kwangu sion kama ni super star
ambaye ni role model!Mbona lady jd ni fomous hata huko nje lakin hana
maisha ya scandals?HAKUWA NA HADHI YA KUPATA KURA KUTOKA KWANGU.

Ebu nenda huko,wewe ni MALAIKA mmmsssssssiiixxxx
 
Watu mnashindwa kusema ukweli na ndio mnao potosha watu wengine.Huyo ndomo watu hawachukii au hawana wivu na music wake,watu hawapendi life style ya scandal scandal wakati wote tena zote ni za chupini.Kwangu sion kama ni super star ambaye ni role model!Mbona lady jd ni fomous hata huko nje lakin hana maisha ya scandals?HAKUWA NA HADHI YA KUPATA KURA KUTOKA KWANGU.

Team haters wanajulikana...
 
Back
Top Bottom