Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,772
- 22,598
Tusubiri yatakayojiri humo ndani mi nasubiria lugha atakavyomwagika kingereza.Ni tofauti na nilivyoona Dimond yuko vizuri sana nmemkubali sana tisha Dimond asante kwa kuwakilisha vyema,waliomuona mmeona kijana wenu yuko poa ila najua watu hamtaacha kusema majungu mengi lakini ndio walivyo wasiokosa kutoa kasoro. Karibuni wakuu.