Diamond Platnumz ndio msanii namba mbili Afrika kwa kumiliki magari ya kifahari. Mtandao mkubwa duniani watoa orodha

Diamond Platnumz ndio msanii namba mbili Afrika kwa kumiliki magari ya kifahari. Mtandao mkubwa duniani watoa orodha

Bwanaako afanye mambo akupe mimba sasa, muda ni mrefu eti au ndo mgumba!! Wake wenzio wote wako bize na malezi umebaki wewe tu
Naona umemiss kushkishwa ukuta tabia uliyorithi kwa mazako... Tafuta basha kwingine sio hapa
 
tujifunze kukubali mafanikio ya wengine
tusiwe wepesi kuchambua mambo ambayo yanaonekana
 
kuna sehemu niliona page ya sir andy chande kapost 2018 kwamba dogo alikua 5 drgreee holder mason.... Si haba akaze afike walau 13 degrees.
dogo ni mwana chama, na hutakuja kukuta waandishi wanauliza hilo....ndio maana halisi ya sekreti sosayati
 
Kwa mujibu wa orodha iliyotolewa na mtandao maarufu duniani.

Msanii namba moja Afrika Diamond Platnumz ameshikilia namba mbili kwenye bara ili lenye nchi zaidi ya 50 na wasanii zaidi ya million 70.....yaaani katika wasanii wote Africa Diamond Platnumz ndio namba mbili.

Asante sana Mwenye enzi Mungu kwa kutujalia hii zawadi ya shujaa kutoka Tandale anaetupa heshima kama taifa.
Africa ina watu 1.37 billion kwa mujibu wa makisio ya watu ya 2021.
Halafu ina wasanii milion 70!?
kwamba kwa kila watu 18 moja wapo ni msanii!? Hongera sana DANGOTE
 
Bwanaako afanye mambo akupe mimba sasa, muda ni mrefu eti au ndo mgumba!! Wake wenzio wote wako bize na malezi umebaki wewe tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwiiiiiih
 
Zero to hero[emoji881] ,halafu kama yupo Freemason jiunge na wewe maana usishangae siku ya hukumu ukachomwa moto kwajili ya zambi ya uzinzi na kuwaonea Wivu wengine wanapofanikiwa
 
Diamond kumiliki hayo magari imefaidika nini ww binafsi mpaka umshukuru Mungu?

Nikisema unamwabudu mondi ntakosea?
 
kuna sehemu niliona page ya sir andy chande kapost 2018 kwamba dogo alikua 5 drgreee holder mason.... Si haba akaze afike walau 13 degrees.
Ikifika iyo 13 degree Holder hawakupangii ni nani utamtoa kafara. Ni wewe Ndo unaamua yeyote yule utakayemtoa
 
Kwa mujibu wa orodha iliyotolewa na mtandao maarufu duniani.

Msanii namba moja Afrika Diamond Platnumz ameshikilia namba mbili kwenye bara ili lenye nchi zaidi ya 50 na wasanii zaidi ya million 70.....yaaani katika wasanii wote Africa Diamond Platnumz ndio namba mbili.

Asante sana Mwenye enzi Mungu kwa kutujalia hii zawadi ya shujaa kutoka Tandale anaetupa heshima kama taifa.


Tafuta hela zako ndugu yangu uache tabia ya kusifia wanaume wenzako
 
Hajui kua Bakhresa anauza hadi nazi za jero.Kua na pesa uheshimu pesa.Maskini tunasubiri hadi tushike mamilioni,ndiyo tuone umuhimu wa hela,wakati milioni inaundwa na jerojero nyingi.
 
Back
Top Bottom