Diamond Platnumz new hit song UTANIPENDA

Daaaaah huyu jamaa sio mtu mzuri kabisaa..

Ndio faida za kupata baraka zote za Mama unakuwa mkali mpaka unaboa yani...
 

Mkuu hivi kabisaaaaaa unategemea team kiba damu amsifu diamond???

hahahahaha
 
Hamna kitu. Habari yake ilikufa na CCM. Vp magufuli hajamwalika ikulu akamkatikie ngololo?
 
Kwahiyo mkuu hii kaswida na #nagharamia ya Kiba ipi kali?

Tunawacheka kwa dharau Hehehehehehehe

Afu acha kutujazia server, hapa tunazungumzia wimbo wa Africa.. Kama huo wimbo wenu mzuri sana ufungulie uzi sio kuipa kiki humu ndani..

Ooooooh wale shabiki zangu walionisifu kwa maneno matamuuuuuuuu....

Aaaaaaah je utanipendagaaaa?
 
Huyu Thomas mbaaaaaaaaaaya sana, kanimaliza sana na tuvinanda hasa pale mwishoni ni nooooma saaaana

Tudy thooomas
tili tili tili tili tiliiii olalalilaoooooh
tili tili tili tili tilii ooooh baby
 
Sasa kama unaisikiliza kwa TECNO P5 unadhani utasikia midundo murua ya hili dude?!isikilize ndani ya S6GALAXY Ndio tunafaidi

labda kama hujui mziki au you are a dickrider rhythm ni mbovu mziki mzuri utaupenda tu hata ukiuskia kwenye radio mbao.
 
labda kama hujui mziki au you are a dickrider rhythm ni mbovu mziki mzuri utaupenda tu hata ukiuskia kwenye radio mbao.
Since When team kiba mkamtakia mema Diamond?!!BTW kama hujaupenda ni wewe tu,mziki ni LADHA,na kila mtu ana LADHA yake anayoipenda

Simu pia inanafasi yake,ukiisikiliza kwenye P5 Zenu hizo huwezi sikia drums za kwenye hii nyimbo na ukichanganya na Earphone za 1000 munazozitumiaga ndio kabisaaaaa,utasikia maluweluwe kila siku
 
Ila jamani kupenda ni upofu! Hivi kuna kitu gani katika wimbo huu pamoja na video yake kinachowafanya watu wausifu kuwa mkali?

Wimbo wa kawaida sana kwa level ya Diamond.
 

Duuih ww jamaa c ulisema nana ni mbaya haaah anyway kuna dude lingine tuna li drop c unapenda za kuchangamka na kucheza getto na demu wko be ready pwilo
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…