Diamond Platnumz new hit song UTANIPENDA

Daaaah jamaa atazd kua juu na juu.
Hongera zake.
 
Hongera sana Baba Tiffa, mashairi safi,ujumbe mzuri sana, kichupa ndio usipime. Utaendelea kuwa juu Tanzania,afrika mashariki na kati.
 
dah to be honest, Audio hii sio hadhi kabisa ya Diamond, mimi ni teamKiba lakini pia huwa napenda nyimbo za Mondy, lakin katika hii hapana, video ndio nzur na ujumbe, naamin producer ndiyo kamuangusha sababu ni mikito ya kizamani
 
dah to be honest, Audio hii sio hadhi kabisa ya Diamond, mimi ni teamKiba lakini pia huwa napenda nyimbo za Mondy, lakin katika hii hapana, video ndio nzur na ujumbe, naamin producer ndiyo kamuangusha sababu ni mikito ya kizamani

Hahahahah

Na umeanza kumkubali mondi. Lini?

Hivi ulishatembea uchi ?
 
Heaven Sent Je utanipenda daddy ako nikifulia?..Zile out za kempinski niwe nakupeleka kwa yule mama ntilie wa jirani
 
Last edited by a moderator:
Ngoma kali sana. Diamond kashindikana aisee.. Anaandika hatari. Bonge la hit.
 
Je Utanipenda" ujumbe mzito for all ppl out there " mondiiiiiBinHit Mothrfck WCB 4 LIFE sio kua namkubali tu bali nampenda "no homo" ths nigga hz definition of a superstar
#JeJeJeeeUtanipenda"
 
dah to be honest, Audio hii sio hadhi kabisa ya Diamond, mimi ni teamKiba lakini pia huwa napenda nyimbo za Mondy, lakin katika hii hapana, video ndio nzur na ujumbe, naamin producer ndiyo kamuangusha sababu ni mikito ya kizamani

Mwanangu hili ni bonge moja la wimbo yani... Humu ndani ametisha sana, na ninachomsifu diamond ni kuwa analitendea haki soko lake kiasi kwamba anakupa kila aina ya wimbo... Alitoa nasema nawe watu wakaponda lakini ndio wimbo uliomuweka karibu na wamama na akina dada sana, huu wimbo wenyewe unagusa kila mtu afu video ndio kamalizaaaaaaa................
 
kedrick kuwa muwazi, diamond kawadisapoint sana fans wake, huu wimbo too lacal miomdoko ya kizaman, sio mziki wa kisasa, mwambie jamaa ajipange, hii ngoma haiwezi kuingia kwny nagharamia hata robo.

Daaah me wimbo umenigusa sana hisia zangu daah nagharamia usha buuma hata haupigwi na bella kashaanchana nao
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaha duuuuuh kuna haters wana roho mbaaaaaaaya yani walikuwa wanasubiri wimbo utoke ili wa dislike daaaah

ASANTE CHIBU DANGOTEEEEE, UMETISHA SANA

WATU WALIKUWA WANAJIULIZA MBONA HUPIGI PROMO?? UNATUPOSTIA TU PICHA UPO NA TIFFAH NA MAMAAKE KUMBE ILIKUWA NI VIDEO PROMOTION BILA SISI KUFAHAMU..

we mbaaaaaaaaya sana
 
Dah Ali kiba atasubiri sana, namshauri atafute mwingine wa kujipima nae, hapa maji marefu, bonge ya ngoma imesimama dede
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…