Diamond platnumz ni mhuni sugu,ameshindikana.

Point,but jamaa ajitahidi kujizuia na aoe Kama watamtafuta tena.
 
Hivi wewe kwa kizazi cha sasa hao mabinti wakikuamulia wakupate unawajua?
Aoe Halafu mengine yatafuata mbn kiba kutulia wewe unadhani wanawake hawamtaki?ajiheshimu kwanza na watamuogopa.
 
Acha Wivu Kwa Mwanaume Mwenzio Au anataka Umegwe Ww?
 
Aoe Halafu mengine yatafuata mbn kiba kutulia wewe unadhani wanawake hawamtaki?ajiheshimu kwanza na watamuogopa.
Hivi wewe ndiye unayejua maisha ya Kiba kiundani, au tuhuma zake hujazisikia za hivi karibuni. Huyo jamaa ni mafia ila wa kimyakimya
 
Acha Wivu Kwa Mwanaume Mwenzio Au anataka Umegwe Ww?
Unaumwa wewe umetoroka milembe,yule ni msanii mkubwa lazima awe shaped na jamii,sasa akifumbiwa macho ataharibu vijana wanaomfuatilia.
 
Lakini kaoa nw na diamond aoe na afanye kimya kimya Kama kiba.
Hivi wewe ndiye unayejua maisha ya Kiba kiundani, au tuhuma zake hujazisikia za hivi karibuni. Huyo jamaa ni mafia ila wa kimyakimya
 
Mwache awachape faida yake atakuja kuiona baadae,wapi Mzee wa KIDALI Poo? Ukiwa Chapachapa hakika hautabaki SALAMA lazima Uunganishwe kwenye "GRIDI YA TAIFA" aka UMEME MKUBWA wa 33Kv
 
We bwege nini kwani maisha yake ya mapenzi yanahusiana nini na wanainchi ao na fans wake? Muziki mbali na maisha yake ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…