Laki Si Pesa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 5,085
- 9,022
Lakini issue ya ndege mi najua unaagizia oda moja kwa moja kiwandani ,. Au kuna ndege za mtumba?Sidhani. Mimi nililipa sh. 45m NMB adv ya kupata gari kutoka ughaibuni mwaka jana hadi leo sijapata. Mhusika alishahama Tanzania na kampuni yake haipo tena nchini. Anaishi lndia karibu na wachina huko. Bado nahangaika kurejesha hiyo pesa.
Matapeli wapo
Bullshit.Ali'clarify' kuhusu kupata verses za 2Pac ambazo mpaka sasa zinamilikiwa na InterScope, alisema kama una pesa unanunua zile verse ambazo hazikuwahi kuwa released na kama kuna audio zilizorekodiwa ambazo zina verses/chorus unazinunua and then that's a collaboration.
Zipo.Lakini issue ya ndege mi najua unaagizia oda moja kwa moja kiwandani ,. Au kuna ndege za mtumba?
Mi nimeamini hii habariKuna jamaa juu kasema wabongo habari kama hii hawaamini ila wakiambiwa jamaa anatumia unga wanaamini
sawa, lakini ndege sio kama gari mkuu, ikizingua kidogo tu umekufa, kununua za mtumba sio sahihiZipo.
Ndege mpya ni ghali sana. Huwezi kupata kwa hiyo hela.sawa, lakini ndege sio kama gari mkuu, ikizingua kidogo tu umekufa, kununua za mtumba sio sahihi
Hakuna sababu Diamond kusema uongo mbele ya vyombo vya habari. Tukubali anachotueleza. Tena tumpongeze kwa kuwa mkweli kwa sababu ni watu wachache wanaokiri kutapeliwa mchana kweupe.sawa, lakini ndege sio kama gari mkuu, ikizingua kidogo tu umekufa, kununua za mtumba sio sahihi
Ni sawa na wasioamini kwamba Mo anaweza kutoa 20B kwa Simba !Watanzania tuna roho mbaya na roho za kwanini.inamaa nassibu Hana b 4?
Alikua na madalali wa kinaijeria huyu bila shaka...Kama hii stori Ina ukweli basi mjini ni kiboko.
Imagine Diamond anatapeliwa Hadi kwenda kulilia Polisi, wewe mwenzangu utasalimika?
Ongezeni nyama basi maana naona kama sioni hivi, inaweza kuwa kamba maana Ukisikia mtu anaitwa msanii hapa Bongo ujue ni mpiga kamba 😆😆
=======
Baada ya kutua Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga leo Oktoba 29, staa wa bongoflava Diamond Platnumz amefunguka kuhusu ishu ya ndege yake binafsi (private jet) aliyotaka kununua.
"Ishu ya ndege yangu ina mambo kidogo, nilinunua jet nimelipa fedha nimetapeliwa, nilimpigia Waziri Mbarawa (Waziri wa Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa) alinisaidia, kaka yangu Hamza ( Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA), Hamza Johari) alinisaidia na sasa serikali nzima inanisaidia kupata haki yangu, nililipa fedha nyingi, kianzio zaidi ya bilioni ila niliowawatumia wananiletea ujanja ujanja," amesema Diamond Platnumz
Diamond amekuwa akitumia ndege binafsi katika safari zake za ndani na nje ya nchi.
Chanzo: Mwanaspoti
View attachment 2797713
Ndenge zote ni mtumba "(Mtumba) "Lakini issue ya ndege mi najua unaagizia oda moja kwa moja kiwandani ,. Au kuna ndege za mtumba?
Kama nilivyosema, Kuna wajinga wataamini.Huwezi kusema uongo na kuwahusisha watu wazito, kuna ukweli katika hili, fikra zangu ni ushamba labda, Diamond alifikiri kuwa kununua Ndege na Gari ni sawa.
Mpaka Sasa wamefika wangapi PM mwanangu?Sidhani. Mimi nililipa sh. 45m NMB adv ya kupata gari kutoka ughaibuni mwaka jana hadi leo sijapata. Mhusika alishahama Tanzania na kampuni yake haipo tena nchini. Anaishi lndia karibu na wachina huko. Bado nahangaika kurejesha hiyo pesa.
Matapeli wapo
Unafikiri watu wote wana njaa kama wewe? Yaani unawaita wenzio wajinga kwa sababu ya njaa yako?Kama nilivyosema, Kuna wajinga wataamini.
Huenda nawewe ni mmojawapo
Mkuu utajiri na pesa cash mkononi ni vitu viwili tofauti. Mtu anaweza kuwa na utajiri labda wa milioni 100 ila cash akawa nayo Laki 2 tu.... kuna watu wangapi mijengo yao inauzwa na benki kisa wameshindwa kulipa marejesho hata robo ya utajiri hayajafika?Mkuu mtu ana utajiri wa zaidi ya B 20 yan hiyo B 4 imsumbue kununua jet yake?