Diamond Platnumz: Niliibiwa Tsh. Bilioni 4 niliyotaka kununulia ndege

Lakini issue ya ndege mi najua unaagizia oda moja kwa moja kiwandani ,. Au kuna ndege za mtumba?
 
Bullshit.
 
Aweke izo document alizofanyia malipo. Tumechoka na uongo wa wasanii.
 
Alikua na madalali wa kinaijeria huyu bila shaka...
 
Well kwa exposure aliyonayo na connections za hawa mawaziri na TCAA basi katapeliwa kizembe
 
Mpaka Sasa wamefika wangapi PM mwanangu?
 
Mkuu mtu ana utajiri wa zaidi ya B 20 yan hiyo B 4 imsumbue kununua jet yake?
Mkuu utajiri na pesa cash mkononi ni vitu viwili tofauti. Mtu anaweza kuwa na utajiri labda wa milioni 100 ila cash akawa nayo Laki 2 tu.... kuna watu wangapi mijengo yao inauzwa na benki kisa wameshindwa kulipa marejesho hata robo ya utajiri hayajafika?
 
Kwa sasa tukae kimya tusubiri wale waliojiajiri kufuatilia maisha binafsi ya watu maarufu watuletee habari kamili. Ninamshauri komredi Simba atulie na kusubiri show za kampeni apige hela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…