Mambo ya kununua vitu kwa advance mengi huwa yanaishia pabayaSidhani. Mimi nililipa sh. 45m NMB adv ya kupata gari kutoka ughaibuni mwaka jana hadi leo sijapata. Mhusika alishahama Tanzania na kampuni yake haipo tena nchini. Anaishi lndia karibu na wachina huko. Bado nahangaika kurejesha hiyo pesa.
Matapeli wapo
Mkuu nilichokisema nakielewa vizuri. Najua hawezi kuwa na kiasi chote hicho bank lakini ujue hawezi kushindwa kupata hiyo pesa bank anapohitaji.Mkuu utajiri na pesa cash mkononi ni vitu viwili tofauti. Mtu anaweza kuwa na utajiri labda wa milioni 100 ila cash akawa nayo Laki 2 tu.... kuna watu wangapi mijengo yao inauzwa na benki kisa wameshindwa kulipa marejesho hata robo ya utajiri hayajafika?
Zinauzwa. Nilishawahi kuona serikali ya TZ iki-declare moja ya ndege zake ndogo ni chakavu na inauzwa. Kile kindege kiliuzwa kwa bei ya hovyo mno. Ilikuwa sawa na buresawa, lakini ndege sio kama gari mkuu, ikizingua kidogo tu umekufa, kununua za mtumba sio sahihi
Dah we jamaa una Imani kali sana...utakuwa mrahisi sana kutapeliwaUnafikiri watu wote wana njaa kama wewe? Yaani unawaita wenzio wajinga kwa sababu ya njaa yako?
Pesa za Diamond unaumia kitu gani? Acha ufala.
Mkuu utawaweza wabongoMbona haongeibkama teja kama wengi wanavyosema kwenye ule uzi wa Nifah ??
Yan nimekaa stand by kuangalia uteja ila sijauonaš¤£
Ana miliki roll Royce unajua inauzwa kiasi gani?[emoji23][emoji23][emoji23]..labda billioni4 za Haiti
Kwahiyo diamond unamlinganisha na wafanyabiashara biashara hao !Dah Billion 4 ni hela ambayo anao uwezo wa kumiliki mbona? japo siyo hela ndogo ila wafanya biashara kibao account zao zinasoma B+, zamani nilikua naona Billion ni kitu cha ajabu sana mtu kumiliki lakin kwenye mihangaiko nimekutana na wafanya biashara wenye utajiri huo wengi tu tena wanaishi mikoani huko.
Kwahiyo hata yeye kumiliki anaweza ila kuibiwa ndo sina uhakika.
Million 200 ni ndogo? Kwani ukiwa tajiri ni lazima awe unatoa hela ovyo ovyo? Hivi umeona mo dewji alivyombahili pamoja na hela zake zoteKwahiyo diamond unamlinganisha na wafanyabiashara biashara hao !
Su huyo diamond tra walimpelekea invoice ya milion 200 tu akataka kufunga kituo Hadi akaitisha press conference serikali waingilie!
Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
Kuwa tajiri siyo kigezo cha kutoa pesa kirahisi kama unajiona wewe ukishika elfu 50 huoni ugumu kutoa elf 6 basi ujue we bado ni masikini usie na mipango yoyoteKwahiyo diamond unamlinganisha na wafanyabiashara biashara hao !
Su huyo diamond tra walimpelekea invoice ya milion 200 tu akataka kufunga kituo Hadi akaitisha press conference serikali waingilie!
Sent from my Pixel 5 using JamiiForums mobile app
Iliuzwa laki5Zinauzwa. Nilishawahi kuona serikali ya TZ iki-declare moja ya ndege zake ndogo ni chakavu na inauzwa. Kile kindege kiliuzwa kwa bei ya hovyo mno. Ilikuwa sawa na bure
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji38][emoji38][emoji1][emoji1]Kuwa tajiri siyo kigezo cha kutoa pesa kirahisi kama unajiona wewe ukishika elfu 50 huoni ugumu kutoa elf 6 basi ujue we bado ni masikini usie na mipango yoyote
Tajiri mzoefu jinsi anavyozidi kupata pesa ndo jinsi anazidi kuwa mgumu maana mipango nayo inaongezeka kwahiyo usishangae kuona anaitisha press kwasababu ya million 200 hiyo ni pesa nyingi
Kuna tajiri mmoja miaka ya nyuma alikua anamiliki mabus flan hivi ila kila siku alikua anasoma mita ya maji ya nyumban kwake na kuandika sehemu baada ya kugundua anabambikiwa bill ya maji kisa tu wamemuona ni tajiri, kwahiyo usishangae jinsi unavyozidi kuwa na pesa ndo jinsi ugumu unaongezeka
Alafu hiyo private jet ya 4 Billion za madafu iko wapi,labda aseme alitaka kununua vile vindege wanaviita focus,au vichata lakini sio private jet ya maana,,hizo zinaanzia Dola 20 million na kuendelea huko na hapo bado running costs and maintenance costs zake na Bado vibali na parking fees,ebu aache utani kama ananunua vile vya kubeba abiria watano Hadi nane sawa hizo bei ni ndogo nazo sio 4 Billion ni kuanzia at least 8 billion huko.Dah Billion 4 ni hela ambayo anao uwezo wa kumiliki mbona? japo siyo hela ndogo ila wafanya biashara kibao account zao zinasoma B+, zamani nilikua naona Billion ni kitu cha ajabu sana mtu kumiliki lakin kwenye mihangaiko nimekutana na wafanya biashara wenye utajiri huo wengi tu tena wanaishi mikoani huko.
Kwahiyo hata yeye kumiliki anaweza ila kuibiwa ndo sina uhakika.
Ni kwamba unaweza kukutana na mtu mjanja au ukakutana na mtu mmasai, ila huwezi kukutana na mmasai mjanjaUkisoma comment humu watu wanabisha na sijaelewa kabisa. Diamond hana hicho kiasi cha pesa au Diamond hawezi kutapeliwa?
Sijaelewa hapo.Yule katapeliwa kweli mpaka kawataja watu aliowasiliana nao ili kumsaidia, Kama uongo si wangeweza kumchukulia Sheria.
Aliyekuambia kununua gari la 45M na kununua ndege ya 4B kunafanana ni nani?Sidhani. Mimi nililipa sh. 45m NMB adv ya kupata gari kutoka ughaibuni mwaka jana hadi leo sijapata. Mhusika alishahama Tanzania na kampuni yake haipo tena nchini. Anaishi lndia karibu na wachina huko. Bado nahangaika kurejesha hiyo pesa.
Matapeli wapo
Unatapeliwa badala ya kwenda polisi/interpol unampigia simu waziri wa uchukuzi na sio kwenda kumuona,mbona haimke sense hii story?Yule katapeliwa kweli mpaka kawataja watu aliowasiliana nao ili kumsaidia, Kama uongo si wangeweza kumchukulia Sheria.
Kuna mtu yuko high mda wote?Mbona haongeibkama teja kama wengi wanavyosema kwenye ule uzi wa Nifah ??
Yan nimekaa stand by kuangalia uteja ila sijauonaš¤£