Diamond Platnumz, Rayvanny na Zuchu wamependekezwa kuwania tuzo za Grammy 2021

Kigoma Independent

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
3,519
Reaction score
2,055
Habarini Wana jamvii.

hii ni kubwa kuliko kwa wasanii wetu pendwa watatu, Diamond Platnumz The G.O.AT in East Africa), Rayvanny (the one and only BET winner in East Africa )and Zuchu(Best female artist in East Africa) kuwa nominated as consideration kwenye tuzo za Grammy zitakazo kuja kufanyika mwaka 2021.

1.Diamond platinumz the G. O. A. T ameingiza Jeje(Best video)&Baba lao(best video).

2.Rayvanny(Beat album flowers).

3.Zuchu(Best new comer).

N. B:Hakuna msanii Africa mashariki ambaye amesha wahi kufikia hiyo hatua, so chondchonde narudia tena chondchonde Diamond asilinganishwe na wasanii wazee na maunder grounds.

pia, hakuna album iliyofikia mafanikio Kama ya rayvanny, so naomba rayvanny album isifananishwe na utopolo fc.

Mwisho kabisa, akuna msanii wa kike ambaye Alisha fikia mafanikio kaka ya zuchu, so naomba zuchu asifananishwe na utopolo.

POVU KAFULIENI NGUO ZENYE KIWANGO CHA PHD, SGR na PHD.
 
Wenzao wa Nigeria wamekaza hadi SARS imekuwa abolished, akina wizkid, Davido na wenzao wakiwa frontline, huku wanajaza matumbo kuungana na watesi! Muda wa kuchuma ulipopanda, ccm unganeni muwapigie kura!
 
Wamehonga
 
Wewe ni mossee iyobo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Atachanguliwa na NEC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…