Kigoma Independent
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 3,519
- 2,055
- Thread starter
- #41
watanzania, maana wewe ni mrundi na Jana ulishangilia Burundi sawa[emoji31][emoji31][emoji31]nani awapigie kura hawa? waende kwa Polepole!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
watanzania, maana wewe ni mrundi na Jana ulishangilia Burundi sawa[emoji31][emoji31][emoji31]nani awapigie kura hawa? waende kwa Polepole!
yeah hapo ndo na Mimi nimemshangaa sanaUna uhakika na unachosema!!? ukiambiwa uthibitishe utaweza!! Watanzania bhana
tatizo unaleta uteam kwenye Mambo ya muhimu, kalale kijana inaonekana bado unanyonya eboooooooh shubamit[emoji23][emoji23][emoji23]Hii habari imeletwa kama vile na mtu mwenye hasira baada ya kupoteza nauli! unaweza kukuta mleta mada ni mtu na ndevu zake na ana familia inamtegemea!
hii sio uvccm Wala upinzani, hii ni yetu sote let's go [emoji123] tukavote kwa wingi wawe nominated official GrammyUvccm mnalo mwaka huu wapigieni kura hao wasanii wenu
Ni kula ulikopeleka mboga
fact kakaMbingu na aridhi zimesoma comment yako" malipo ni hapa hapa
wewe kweli hamnazo , afu ukiwapigia hao Nigeria utafaidika na Nini...? au watapungukiwa na Nini..? so jitafakari kijana usiwaonee wivu kuwa ccm maana na wewe hawajakuonea wivu kuwa upinzani that's why burudani wanatoa kwa watanzania wote let's go [emoji123] tukavotewapigieni kura nyie ccm sinndio mnashinda nao kwenye majukwaa? niko tayari kumpigia kura msanii kutoka Nigeria ashinde kuliko hawa wasanii wapumbavu wa Tanzania
hapana Mimi ni waziru wa Sanaa na mziki mzuri[emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ni mossee iyobo[emoji23][emoji23][emoji23]
NEC(national essential committee),ambayo inajumuisha watanzania wote so let's go [emoji123] tukavote kwa wingi [emoji120][emoji120][emoji120]Atachanguliwa na NEC
fact kaka[emoji123][emoji123][emoji123]Kamguu ata wewe unaweza amka hauna kesho
Kama kweli waliompiga ni wao wenyewe..?Nini chakuthibitisha sasa
Umeelewa? Niliye mreply ni kuhusu masimango juu ya TAL...wao wakina nani...!!!???achana na conspiracy theory njoo na fact sasa kijana eboooooooh
shukurani sana Kaka mkubwa nimekusoma, sema watu wanapendaga sana makuu that's why nimeuwasilisha namna hii but usijali, let's go to vote tuwe nominated officialKigoma Independent hii habari Ni nzuri Sana na Ni kubwa Sana kwenye industry yetu ya mziki ukutakiwa uwasilishe kwa huo mtindo huo wa mipasho hakukua na sababu ya kufanya hivyo mzee next time jifunze kuandika Uzi bila mipasho au usingeandika kabisa watu wastaharabu wangeandika Hilo ndio uliokosea mzee
hawa wasanii wakapige msosi walikopeleka mboga dadeki!watanzania, maana wewe ni mrundi na Jana ulishangilia Burundi sawa[emoji31][emoji31][emoji31]
fact anajua eti ataleta impact, yaani akiacha ndo atakuwa kampiga teke chura na kumuongezea speed[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwani usipowapigia wewe ndio kutafanya wasipigiwe kura hao Wana fans wengi Sana wewe hata usipopiga huna impact yoyote wewe baki na siasa yako uone Kama itakufanya uwe na maisha Bora
tatizo wewe NI utopolo wa kiwango Cha PHD, HD na SGR.
watakula walikopeleka mboga, that's the point!Kwani usipowapigia wewe ndio kutafanya wasipigiwe kura hao Wana fans wengi Sana wewe hata usipopiga huna impact yoyote wewe baki na siasa yako uone Kama itakufanya uwe na maisha Bora
kalale bhana hata usipopiga, wengine watapiga sawa shubamit mkubwa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hatuwapigii kura
naelewa hata zaidi ya wewe ambae hata memkwa haukupita au unazania Mimi ni Kama wewe shubamit [emoji31][emoji31][emoji31]unaelewa maana ya "for grammy consideration"?
tatizo jina lako linakuponza sana ngoja kwa Leo nikustiri[emoji23][emoji23][emoji23]Kwenye hizo tuzo hawa wasanii wa kibongo ni kama kajamba nani tu!