Diamond Platnumz, Rayvanny na Zuchu wamependekezwa kuwania tuzo za Grammy 2021

Diamond Platnumz, Rayvanny na Zuchu wamependekezwa kuwania tuzo za Grammy 2021

Hii habari imeletwa kama vile na mtu mwenye hasira baada ya kupoteza nauli! unaweza kukuta mleta mada ni mtu na ndevu zake na ana familia inamtegemea!
tatizo unaleta uteam kwenye Mambo ya muhimu, kalale kijana inaonekana bado unanyonya eboooooooh shubamit[emoji23][emoji23][emoji23]
 
wapigieni kura nyie ccm sinndio mnashinda nao kwenye majukwaa? niko tayari kumpigia kura msanii kutoka Nigeria ashinde kuliko hawa wasanii wapumbavu wa Tanzania
wewe kweli hamnazo , afu ukiwapigia hao Nigeria utafaidika na Nini...? au watapungukiwa na Nini..? so jitafakari kijana usiwaonee wivu kuwa ccm maana na wewe hawajakuonea wivu kuwa upinzani that's why burudani wanatoa kwa watanzania wote let's go [emoji123] tukavote
 
nobody like mondiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
#gonga like kama unampenda diamondplatnumz
 
Kigoma Independent hii habari Ni nzuri Sana na Ni kubwa Sana kwenye industry yetu ya mziki ukutakiwa uwasilishe kwa huo mtindo huo wa mipasho hakukua na sababu ya kufanya hivyo mzee next time jifunze kuandika Uzi bila mipasho au usingeandika kabisa watu wastaharabu wangeandika Hilo ndio uliokosea mzee
shukurani sana Kaka mkubwa nimekusoma, sema watu wanapendaga sana makuu that's why nimeuwasilisha namna hii but usijali, let's go to vote tuwe nominated official
 
Kwani usipowapigia wewe ndio kutafanya wasipigiwe kura hao Wana fans wengi Sana wewe hata usipopiga huna impact yoyote wewe baki na siasa yako uone Kama itakufanya uwe na maisha Bora
fact anajua eti ataleta impact, yaani akiacha ndo atakuwa kampiga teke chura na kumuongezea speed[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwani usipowapigia wewe ndio kutafanya wasipigiwe kura hao Wana fans wengi Sana wewe hata usipopiga huna impact yoyote wewe baki na siasa yako uone Kama itakufanya uwe na maisha Bora
watakula walikopeleka mboga, that's the point!
 
Back
Top Bottom