Diamond Platnumz, Rayvanny na Zuchu wamependekezwa kuwania tuzo za Grammy 2021

Diamond Platnumz, Rayvanny na Zuchu wamependekezwa kuwania tuzo za Grammy 2021

ina maana hawa grammy hawajakielewa kabisa kizungu cha album yetu pendwa ya mmakonde?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]" I gonna die for you" , sasa hicho ni kizungu au kimakonde Cha chitohori[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kupigia wasanii wanaoponda demokrasia nchini its a big no to me!!Kila mtu atakula alipopeleka mboga,and in fact mboga yao walipeleka CCM hvyo wakale hukohuko
yaani wewe ni MBUGIRA sana tena sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Solution ni kupigia kura wapinzani wao from Nigeria & other countries.
unaroho ya kwanini...!!!?? sasa wao watakusaidia Nini na ndo maana mpaka now hawajawa considered [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
tunakata lufaa haiwedhekani alubamu yetu pendwa wakaithutha hivi hivi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mimi mwenyewe naona wamemuonea msanii wetu namba moja pamoja na album yake number moja Africa, in Burnaby voice [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom