Waelekea wapenda kuiga iga sana,post ya kwanza waiga,na ya pili pia? Come on mazeeko gubi lako ndo poa kaka...!!!?? [emoji28][emoji28][emoji28]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waelekea wapenda kuiga iga sana,post ya kwanza waiga,na ya pili pia? Come on mazeeko gubi lako ndo poa kaka...!!!?? [emoji28][emoji28][emoji28]
Kavote wewe inatoshawewe kweli hamnazo , afu ukiwapigia hao Nigeria utafaidika na Nini...? au watapungukiwa na Nini..? so jitafakari kijana usiwaonee wivu kuwa ccm maana na wewe hawajakuonea wivu kuwa upinzani that's why burudani wanatoa kwa watanzania wote let's go [emoji123] tukavote
ladhima tuandamane, haiwedhekani gilammi washindwe kuichagua alubamu ilohudhuliwa na laisi musitafu alafu waichague EP ya maua yanayopendwa na nyuki, hapa ladhima dabiliusibi wametufanyia figithu kwa gilamithatha kaka tutafanyaje...? wakati yeye ndo mthanii peke ake anayejulikana kutoka Tanzania [emoji1787][emoji1787][emoji1787] au tuandamane wamemuonea mthanii wetu pendwa Tanzania [emoji24][emoji24][emoji24]
hakuna uzalendo bila kuwa mtumwa wa fikra, Think big and grow rich.Uzalendo si utumwa wa fikra
wewe mbona umeniiga post 4 za juu, come on mzee squareWaelekea wapenda kuiga iga sana,post ya kwanza waiga,na ya pili pia? Come on mazee
Kwa uandishi huu,napata picha halisi kua wewe utakua ni mtu wa aina gani.haunisumbui bin uteleze[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kmmk zenu, siasa pelekeni jukwaa husika.Na wao ndio waliomsababishia huo ulemavu,na bado wanaona haitoshi
kweli dabiliusibi watakuwa wameoinga maana nasikia tuzo moja ni $3billion[emoji1787][emoji1787][emoji1787],tukaandamane BASATA.ladhima tuandamane, haiwedhekani gilammi washindwe kuichagua alubamu ilohudhuliwa na laisi musitafu alafu waichague EP ya maua yanayopendwa na nyuki, hapa ladhima dabiliusibi wametufanyia figithu kwa gilami
MATAGAAAA 🤣🤣🤣🤣🤣wewe mbona umeniiga post 4 za juu, come on mzee square
Mimi mwenyewe kwa reply hizi , nimeshituka sana naongea na mtu wa Aina gani?Kwa uandishi huu,napata picha halisi kua wewe utakua ni mtu wa aina gani.
MATAGAAAA SQUARE [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]MATAGAAAA [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Bila kumsahau Jecha jecha kuiba kura za wapinzani wao.Atachanguliwa na NEC
😂😂😂😂 wewe sio shabiki wake, kwahiyo kawapigie wasanii wako unaowajua.Kwenye digital platforms support kuwa kwa wasanii wetu kwa zaidi ya asilimia 80 hutoka nje.wapigieni kura nyie ccm sinndio mnashinda nao kwenye majukwaa? niko tayari kumpigia kura msanii kutoka Nigeria ashinde kuliko hawa wasanii wapumbavu wa Tanzania
CCM mindset-wakati mwingine ficha mindset yako jamii isikushangaehakuna uzalendo bila kuwa mtumwa wa fikra, Think big and grow rich.
Una uhakika na unachosema!!? ukiambiwa uthibitishe utaweza!! Watanzania bhana
Yeah tutawapa support,Wana CCM wenzetu.Kaa usubirie hiyo demokrasia unayotaka,Ila ukumbuke tu kuwa kila baada ya miaka mitano katika harakati zako za kusubiri democracy,umri unakutupa mkono.Utakuja kushtuka uzeeni😂😂😂.Pambana utoke kwenye JOBLESS status.Kupigia wasanii wanaoponda demokrasia nchini its a big no to me!!Kila mtu atakula alipopeleka mboga,and in fact mboga yao walipeleka CCM hvyo wakale hukohuko
Sio lazima uwasupport wewe,dada zako wakiwasupport inatosha.hawa wasanii wakapige msosi walikopeleka mboga dadeki!
Kwani usipowapigia wewe ndio kutafanya wasipigiwe kura hao Wana fans wengi Sana wewe hata usipopiga huna impact yoyote wewe baki na siasa yako uone Kama itakufanya uwe na maisha Bora
Mbona issue hii umeikomalia sana? Kila comment unataka uijibu! Au we' ndiye Zuchu mwenyewe?yeah si hela wanazo, maana diamond platinumz pekee ake Ana net worth $100 billion zaidi hata ya Chris brown[emoji1787][emoji1787][emoji1787]