Kumbe Hadi wewe una akili ya kipumbavu.Ni mwanaume mpumba.vu tu atakayewapigia kura hawa wasanii uchwara wa thithiemu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe Hadi wewe una akili ya kipumbavu.Ni mwanaume mpumba.vu tu atakayewapigia kura hawa wasanii uchwara wa thithiemu
Polepole oyeeee.Kama watanzania hawawezi kumpigia msanii anayewafanyia kampeni CCM mbona Diamond kabeba tuzo nyingi Sana na pia kapiga hatua kubwa Sana kwenye mziki mpaka ameshirikishwa na msanii mkubwa mwenye tuzo 6 za Grammy Alicia key kweli mashabiki wa Chadema mnamatatizo ya akili?
Mimi nikiwa na akili ya kipumbavu sijui wewe akili yako itakuwaje..Kumbe Hadi wewe una akili ya kipumbavu.
Shimakoo anthony_art, umeongea point nzuri sana. Tena umeijenga vizuri sana. Lakini kama "A ni mtesi wa familia yako, lakini familia yako inaogopa kukuunga mkono kukabiliana na mtesi, Je hilo linakupa legitimacy ya kuungana na A dhidi ya familia yako"?Unajua Nigeria walioanzisha Ni raia wa kawaida Kama sisi then wasanii wakaungana kwapamoja, sisi tumekomaa kulaum wasanii wakat tumeufwata mkia. Roma alitekwa na wa2 wengi tu lakin hatukudirik Wala kuingia barabaran kuwatetea nakumbuka mange kimambi alianzisha maandamano Nani alitoa mguu wake nje? Tuache kulaum wasanii as if wao pekee ndio wenye jukum hili,
Huyo sio Humphrey Polepole. Account yake iko verifiedPolepole oyeeee.View attachment 1597845
kwani Tanzania ni ya ccm?Watanzania siyo wajinga, hawawezi mpigia kura msanii wa ccm
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
mmevurugwa sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hizi habari zinawahusu ccm. Sisi Chauma hazituhusu
ila wanawapigia kura ccm wenyewe.Watanzania siyo wajinga, hawawezi mpigia kura msanii wa ccm
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
wewe ni team pinzani tu huna maana.Ni mwanaume mpumba.vu tu atakayewapigia kura hawa wasanii uchwara wa thithiemu
Acha kuniquote kibwegebwege..wewe ni team pinzani tu huna maana.
Andika taratibu hela yako ya posho ipo tuuHabarini Wana jamvii.
hii ni kubwa kuliko kwa wasanii wetu pendwa watatu, Diamond Platnumz The G.O.AT in East Africa), Rayvanny (the one and only BET winner in East Africa )and Zuchu(Best female artist in East Africa) kuwa nominated as consideration kwenye tuzo za Grammy zitakazo kuja kufanyika mwaka 2021.
1.Diamond platinumz the G. O. A. T ameingiza Jeje(Best video)&Baba lao(best video).
2.Rayvanny(Beat album flowers).
3.Zuchu(Best new comer).
N. B:Hakuna msanii Africa mashariki ambaye amesha wahi kufikia hiyo hatua, so chondchonde narudia tena chondchonde Diamond asilinganishwe na wasanii wazee na maunder grounds.
pia, hakuna album iliyofikia mafanikio Kama ya rayvanny, so naomba rayvanny album isifananishwe na utopolo fc.
Mwisho kabisa, akuna msanii wa kike ambaye Alisha fikia mafanikio kaka ya zuchu, so naomba zuchu asifananishwe na utopolo.
POVU KAFULIENI NGUO ZENYE KIWANGO CHA PHD, SGR na PHD.
si umeongea ubwege tuAcha kuniquote kibwegebwege..
Wapi uliniona na upara?we babu na upara wako kama fly over uache matusi wajukuu watakupiga makofi
Inakubidi ufahamu hakuna kitu kibaya kama itikadi. Siasa ni itikadi. Athari nyingi na maafa mengi binadamu kwa binadamu moja miongoni mwa kisababishi ni itikadi ya mlengo wowote ambao wao wanaouamini.wewe kweli hamnazo , afu ukiwapigia hao Nigeria utafaidika na Nini...? au watapungukiwa na Nini..? so jitafakari kijana usiwaonee wivu kuwa ccm maana na wewe hawajakuonea wivu kuwa upinzani that's why burudani wanatoa kwa watanzania wote let's go [emoji123] tukavote
Kibabu mbona unarukaruka ukiitwa babu. Tulia uchezewe sharubu na wajukuu wakoWapi uliniona na upara?
Kuna jamaa huwaga hawana adabu.Kibabu mbona unarukaruka ukiitwa babu. Tulia uchezewe sharubu na wajukuu wako.
Dependent kamkosoa Independent🏇🏇🏇🏇🏇🚴🚵Kigoma Independent hii habari Ni nzuri Sana na Ni kubwa Sana kwenye industry yetu ya mziki ukutakiwa uwasilishe kwa huo mtindo huo wa mipasho hakukua na sababu ya kufanya hivyo mzee next time jifunze kuandika Uzi bila mipasho au usingeandika kabisa watu wastaharabu wangeandika Hilo ndio uliokosea mzee
cku hzi hata mashabiki wa ccm wasiompenda Mond utasikia "akapigiwe kura na wanaccm wenzake " 😀😀😀wanajisahau kuwa nao ni wanaccm ila n team kibaMimi nikiwa na akili ya kipumbavu sijui wewe akili yako itakuwaje..
Mbona ni simple tu kampigie kura wewe,mimi na wadau wengine kwenye huu uzi hatupigii kura..hutaki jilipue
WCB baba lao.Habarini Wana jamvii.
hii ni kubwa kuliko kwa wasanii wetu pendwa watatu, Diamond Platnumz The G.O.AT in East Africa), Rayvanny (the one and only BET winner in East Africa )and Zuchu(Best female artist in East Africa) kuwa nominated as consideration kwenye tuzo za Grammy zitakazo kuja kufanyika mwaka 2021.
1.Diamond platinumz the G. O. A. T ameingiza Jeje(Best video)&Baba lao(best video).
2.Rayvanny(Beat album flowers).
3.Zuchu(Best new comer).
N. B:Hakuna msanii Africa mashariki ambaye amesha wahi kufikia hiyo hatua, so chondchonde narudia tena chondchonde Diamond asilinganishwe na wasanii wazee na maunder grounds.
pia, hakuna album iliyofikia mafanikio Kama ya rayvanny, so naomba rayvanny album isifananishwe na utopolo fc.
Mwisho kabisa, akuna msanii wa kike ambaye Alisha fikia mafanikio kaka ya zuchu, so naomba zuchu asifananishwe na utopolo.
POVU KAFULIENI NGUO ZENYE KIWANGO CHA PHD, SGR na PHD.
Kwani unateseka?Wamehonga