Diamond Platnumz, Rayvanny na Zuchu wamependekezwa kuwania tuzo za Grammy 2021

Diamond Platnumz, Rayvanny na Zuchu wamependekezwa kuwania tuzo za Grammy 2021

Kama watanzania hawawezi kumpigia msanii anayewafanyia kampeni CCM mbona Diamond kabeba tuzo nyingi Sana na pia kapiga hatua kubwa Sana kwenye mziki mpaka ameshirikishwa na msanii mkubwa mwenye tuzo 6 za Grammy Alicia key kweli mashabiki wa Chadema mnamatatizo ya akili?
Polepole oyeeee.
EkC6MxgXsAEG-gl.jpg
 
Unajua Nigeria walioanzisha Ni raia wa kawaida Kama sisi then wasanii wakaungana kwapamoja, sisi tumekomaa kulaum wasanii wakat tumeufwata mkia. Roma alitekwa na wa2 wengi tu lakin hatukudirik Wala kuingia barabaran kuwatetea nakumbuka mange kimambi alianzisha maandamano Nani alitoa mguu wake nje? Tuache kulaum wasanii as if wao pekee ndio wenye jukum hili,
Shimakoo anthony_art, umeongea point nzuri sana. Tena umeijenga vizuri sana. Lakini kama "A ni mtesi wa familia yako, lakini familia yako inaogopa kukuunga mkono kukabiliana na mtesi, Je hilo linakupa legitimacy ya kuungana na A dhidi ya familia yako"?
 
Habarini Wana jamvii.

hii ni kubwa kuliko kwa wasanii wetu pendwa watatu, Diamond Platnumz The G.O.AT in East Africa), Rayvanny (the one and only BET winner in East Africa )and Zuchu(Best female artist in East Africa) kuwa nominated as consideration kwenye tuzo za Grammy zitakazo kuja kufanyika mwaka 2021.

1.Diamond platinumz the G. O. A. T ameingiza Jeje(Best video)&Baba lao(best video).

2.Rayvanny(Beat album flowers).

3.Zuchu(Best new comer).

N. B:Hakuna msanii Africa mashariki ambaye amesha wahi kufikia hiyo hatua, so chondchonde narudia tena chondchonde Diamond asilinganishwe na wasanii wazee na maunder grounds.

pia, hakuna album iliyofikia mafanikio Kama ya rayvanny, so naomba rayvanny album isifananishwe na utopolo fc.

Mwisho kabisa, akuna msanii wa kike ambaye Alisha fikia mafanikio kaka ya zuchu, so naomba zuchu asifananishwe na utopolo.

POVU KAFULIENI NGUO ZENYE KIWANGO CHA PHD, SGR na PHD.
Andika taratibu hela yako ya posho ipo tuu
 
wewe kweli hamnazo , afu ukiwapigia hao Nigeria utafaidika na Nini...? au watapungukiwa na Nini..? so jitafakari kijana usiwaonee wivu kuwa ccm maana na wewe hawajakuonea wivu kuwa upinzani that's why burudani wanatoa kwa watanzania wote let's go [emoji123] tukavote
Inakubidi ufahamu hakuna kitu kibaya kama itikadi. Siasa ni itikadi. Athari nyingi na maafa mengi binadamu kwa binadamu moja miongoni mwa kisababishi ni itikadi ya mlengo wowote ambao wao wanaouamini.

CCM na Upinzani ni vyama vyenye watu wenye itikadi zao. Itikadi inajikita kwenye mizizi ya moyo kabisa!

Msanii kwa sanaa yake anakuwa kiunganishi cha watu wenye itikadi tofauti kuwa wamoja na ni kwa burudani tu. Atakapoanza kuonyesha itikadi yake siyo kosa! Kosa ni pale unaporusha vijembe na kebehi kwa itikadi nyengine ambayo hiyo itikadi imekusanya miongoni mwa ujumla wa mashabiki wako.

Unachotegemea ni nini? Watakuasi tu! Umeitusi au kuikebehi itakadi yao ya Uchama ambayo imejikita kwenye moyo halafu unakuja kwa nembo ya Utaifa wakuunge mkono kwenye kazi yako?!

Wataungana na adui yako! Ndiyo kilichotokea kwa Zuchu na WCB. Kwa namna moja ama nyengine inaweza isiwaathiri ila kwa namna moja ama nyengine inaonyesha wapo mashabiki wapo serious kwenye mambo yao hususani masuala ya itikadi na wamewaonyesha kama wanaweza na wanaweza.

Inawabidi waelewe siasa ya Tanzania inabadilika kwa kasi ya hasira ambayo ni mbaya sana! Ana uhuru wa kuchagua chama! Ila afahamu siasa ni itikadi na yeye ni msanii achange karata zake vyema kama anatarajia kupata support ya jamii nzima yenye itikadi ya vyama tofauti.
 
Kigoma Independent hii habari Ni nzuri Sana na Ni kubwa Sana kwenye industry yetu ya mziki ukutakiwa uwasilishe kwa huo mtindo huo wa mipasho hakukua na sababu ya kufanya hivyo mzee next time jifunze kuandika Uzi bila mipasho au usingeandika kabisa watu wastaharabu wangeandika Hilo ndio uliokosea mzee
Dependent kamkosoa Independent🏇🏇🏇🏇🏇🚴🚵
 
Mimi nikiwa na akili ya kipumbavu sijui wewe akili yako itakuwaje..

Mbona ni simple tu kampigie kura wewe,mimi na wadau wengine kwenye huu uzi hatupigii kura..hutaki jilipue
cku hzi hata mashabiki wa ccm wasiompenda Mond utasikia "akapigiwe kura na wanaccm wenzake " 😀😀😀wanajisahau kuwa nao ni wanaccm ila n team kiba
Inaonesha team kiba wote ni wanachadema ila mfalme yupo upande mwingine
 
Habarini Wana jamvii.

hii ni kubwa kuliko kwa wasanii wetu pendwa watatu, Diamond Platnumz The G.O.AT in East Africa), Rayvanny (the one and only BET winner in East Africa )and Zuchu(Best female artist in East Africa) kuwa nominated as consideration kwenye tuzo za Grammy zitakazo kuja kufanyika mwaka 2021.

1.Diamond platinumz the G. O. A. T ameingiza Jeje(Best video)&Baba lao(best video).

2.Rayvanny(Beat album flowers).

3.Zuchu(Best new comer).

N. B:Hakuna msanii Africa mashariki ambaye amesha wahi kufikia hiyo hatua, so chondchonde narudia tena chondchonde Diamond asilinganishwe na wasanii wazee na maunder grounds.

pia, hakuna album iliyofikia mafanikio Kama ya rayvanny, so naomba rayvanny album isifananishwe na utopolo fc.

Mwisho kabisa, akuna msanii wa kike ambaye Alisha fikia mafanikio kaka ya zuchu, so naomba zuchu asifananishwe na utopolo.

POVU KAFULIENI NGUO ZENYE KIWANGO CHA PHD, SGR na PHD.
WCB baba lao.
 
Back
Top Bottom