Diamond Platnumz, Rayvanny na Zuchu wamependekezwa kuwania tuzo za Grammy 2021

Habari ya uongo achana na huyu kima
 
Wakuu naomba mwenye uelewa wa jinsi ya ku vote kwenye grammy consideration anielekeze please,I want to vote down Zuchu for good.
 
Hivi hizo itikadi ni kwa mtu mmoja tu au? Mbona wasanii ni wengi walioimba nyimbo za hivyo kwamba hao hawaonekani au na pia hao wasanii zamani walikuwa hawatumiki kwenye kampeni au ndio leo hizo harakati ndio zinaonekana kama kugoma wamgomee na Mo Dewj mbona alionekana kuunga mkono upande mmoja basi waache kushabikia Simba sc na kugomea bidhaa zake. Likiwezekana hilo itakuwa sio unafki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…