Diamond Platnumz: Sasa kila anachogusa kinageuka almasi

Mbona wasanii wakubwa wote wa Africa wapo south Africa kwani king ye sio msanii mkubwa hadi awe mbugani saizi?

Hahahaaaaa...
...maswal yanayowafanyaga watukane haya, kuwa makin!....0hooo!
 
DIAMOND ni msanii ambaye kadri wanavyomuonesha kumchukia ndivyo anavyozidi kuwa juu
 
Mbona wasanii wakubwa wote wa Africa wapo south Africa kwani king ye sio msanii mkubwa hadi awe mbugani saizi?

Sitaki kuamini pamoja na comment hii thread bado haijachafuka tu.
 
Huwezi kusema King yupo mbugani muda huu na ukaachwa hivi hivi. Yaani ikika kesho hawajakuquote nitaamini kweli wamesarenda.

Hahahaaaaa usiwachokoze bwana wenzio sikuizi wamekuwa wapolee
 
Hadi sasa performance ya diamond ndo imefunika. Huyu mtoto hatareeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…