Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakiona mlichokiona nifafanulieni.If you know you know.
nafikiri anaigiza kama vifutui flani iviSema diamond aeleweki unakuta kesho kutwa yupo timamu kabisa,,,huyu kidogo anasense za kuogopa kufeli kuliko kina chid
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa huyu diamond anapenda ku trend,,,yupo radhi kufanya lolote ilimradi atrend na kumbuka miaka ya nyuma kidogo kipindi hajafanikiwa sana kimziki aliwahi kuvua suruali jukwaani yeye na dancers wake wakabaki na viboxer tu ilimradi wa trend tunafikiri anaigiza kama vifutui flani ivi
Anaonekana yuko high kwa madawa kiasi cha kuongea kama tejaSijakiona mlichokiona nifafanulieni.
SunguraKwani mondi anatumia kilevi pombe???
Ova
Duh,!Kiki tu hiyo, angekuwa amesizi kweli asingekuwa na muda wa kuitazama kamera ya chombo kilichomrekodi.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app