myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Sidhani. Nafikiri kaigiza hapo...Kwani mondi anatumia kilevi pombe???
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani. Nafikiri kaigiza hapo...Kwani mondi anatumia kilevi pombe???
Ova
Sijaona tatizo hapo, labda nyinyi mnafahamiana nae zaidi mtuelezee.
Sio yeyeSidhani Kama Ni yeye
Hiyo sio mikato ya pombe budah 😁Kwani mondi anatumia kilevi pombe???
Ova
U mean ukishatafuna kila aina ya demu halafu ukahamia jinsia ya Me ukala kunakuwa hakuna jipya au nimekuelewa vibaya mkuu?Diamond ndomana asaiv katulia na kademu kamoja, ukishakuwa Teja hata hamu ya mademu inakata kabisa.
Ipi?Mond anatafuta Self Actualization. Kuna starehe ya mwisho anaitafuta mwamba.
Wewe huoni hiyo high aliyopo ni ya kawaida?Sijaona tatizo hapo, labda nyinyi mnafahamiana nae zaidi mtuelezee.
Hizi ndo pigo zako?He is high AF!
Ila kapendeza kimavazi 👏👏
Never! Nimependa tu kavaa kuendana na kazi yake walau kwa leo kapendeza.Hizi ndo pigo zako?