Diamond Platnumz, tusamehe Watanzania tumezoea kuitwa 'Kichwa cha mwendawazimu'

Hahahaha wabongo huwa hawapendi mtu uonyeshe tofauti katika nyanja mbalimbali za kimaisha..
 
Kijana usikate tamaa sisi waafrika ukifanikiwa kidogo tu utapigiwa majungu na fitina ili urudi ulikotoka. Piga kazi usimdharau mtu mh kila mtu na fanya yale yanayokuingizia pesa.

Mfano mzuri ikitokea kwenye familia umefanikiwa kidogo ndugu watakusema na kukuombea urudi ulikotoka ili mlingane. Kwenye mziki au ushindani wowote kuna mbinu za kila aina.

Ali Kiba anawatu wake na wewe unawatu wako kwa hiyo we piga kazi achana bifu. Siku zote ngozi nyeusi haipendi maendeleo tunaona jata wachezaji wa kimataifa huko ulaya wanaamini mpaka kuwangiwa na kufanya wahame kabisq afrika.

Usicheze na ngozi nyeusi cha msingi wewe jitahdi kumheshimu kila binadammu na kimbiza kazi zako kila siku usiku na mchana.

Nawapenda wote wanaofanikiwa bila roho ya korosho hata kama mimi sko kwenye level yao.
 
Katika hii ligi mshindi anjulikana ni nani live bila chenga.Afu hyo yakusema nasibu na ali wapatane afu wafanye collable so what.Nasib anajitosha,ali na usnitch wake ndo atafte collable some where.Kiba stress znamuuwa.
 
Hizi show za kupambana na Kiba angedouble his price vinginevyo asifanye kazi
 
Chibu wewe uko juu bwana, umathubutu na mafanikio yako ndio yanayowasumbua. Wewe mbele kwa mbele, "nabii hawezi kuwa na thamani kwake" Afrika una jina Chibu achana na mawazo ya hao wachovu!
 
Ukishajua kutofautisha 2 na Z wala haikupi shida.
 
mtu ana zambi kibao hafikirii kutubu diamond unamuomba msamaha kwenye mitandao na wakati ana account zake si umtumie direct. yaan mtu ukishavurugwa umevurugwa tu
 
mtu ana zambi kibao hafikirii kutubu diamond unamuomba msamaha kwenye mitandao na wakati ana account zake si umtumie direct. yaan mtu ukishavurugwa umevurugwa tu
kare ssebo..
 
dai anaweza kawafundisha wasanii mbali mbali kutoa video kwa kipindi hiki cha dijito coz mondi wa dijito na alikibi wa analojia hadi kaamua video ya mwana kuimbya chooni ndo kwanza video yake bora tangu haanze music.ni mondi ndiye alyemfanya alikiba kutoa vdeo yake ya mwana Kuogop Kupitwa Na Kiba Anajulikana Kwa Mgongo Wa Daiplatinumz.keep It Up Daimond Yes, You Can.
 

Alikiba ni mbwa hawezi jilinganisha na diamond
 

hao maadaui wanakuja tu kuzomea akipiga show ma kiba? tumeshuhudia show mbili za coco na darlive sikushuhudia makopo ila wakikutana na Kiba haya mambo yanatokea
 

Kaka umesomeka vizuri, hakika una chembechembe za uzalendo. Tunao watanzania wenzetu ambao wanaishi kwa kufuata mkumbo, ndio wanaoshabikia haya.
Chibu wasamehe !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…