Nimesomea lugha tatu Kiswahili, Kiingereza na Kifaransa na ni mwalimu wa lugha hizi chuo kikuu nitashangaa sana kuambiwa sifahamu lugha hizi ndogo kwangu kama kucha zako kijana
Muziki wa Marekani bado uko juu Sana kuliko nchi yeyote hapa Duniani.
Kama unahisi nadanganya hebu nenda YouTube ukaangalie views za nyimbo za wasanii wa kimarekani
Muziki wa Marekani bado uko juu Sana kuliko nchi yeyote hapa Duniani.
Kama unahisi nadanganya hebu nenda YouTube ukaangalie views za nyimbo za wasanii wa kimarekani