uhuru tech
Member
- Apr 16, 2017
- 48
- 52
Nilikuwa najiuliza hili swali,je mziki wa marekani vip ndo umekufa maan hata kwenye bar sio sana kama kipindi kile,hivi ni nani mwenye hitsong ya USA aweke hapa,au ni uzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli broJuzi nlikuwa natazama wimbo wa what niggas all want wa Eve E, halafu nasoma comments. Bidada alikuwa kavaa kwa kujistiri halafu anatema bars. Comments watu wanasema hicho kizazi wanawake walikuwa watrend kwa vipaji si mishape. We tazama Miss Eliot na sura ngumu but alikuwa anakinukisha.
Kizazi cha akina Lil Wayne baada ya kuondoka kilichofuata ni kivivu, hakijitumi wala hakina vipaji. Ni kizazi cha wanafunzi wa chuo ambacho hakikuwa kinasomea mziki baada ya kuinamishwa na maisha kikakimbilia kwenye muziki kutupigia keleleNilikuwa najiuliza hili swali,je mziki wa marekani vip ndo umekufa maan hata kwenye bar sio sana kama kipindi kile,hivi ni nani mwenye hitsong ya USA aweke hapa,au ni uzee
HaswaaUkweli usemwe hata hao wa zamani sio wote walikuwa na radha ya kusikilizika,ni vile tulikosa mbadala wa kushindanishwa nao hapa nyumbani africa.
Unafungua tv za bongo muda wote wanapiga nyimbo za mbele unajikuta umezama tu kama ajali.
Kwa sasa africa tuna namna yetu ambayo naona wazungu nao wanaionja wanaingia ktk mfumo,nilikuwa nikisikia 02 imejaa nadhani ni weusi pekee,juzi burna kajaza na wazungu kibao wanaimba naye.
Mziki mzuri una lugha yake.
Wewe mnyarukolo nenda fesibukiDayamondiamurudieWema
Tatizo kiingereza tu acha porojo. Ndugu Almasi kuimba Kwa kiingereza hajui. Kuongea kwenyewe ndiyo vile tena wanna, gonna, trynaaa, outta nyiiingi katumia kivuli cha kuficha ubovu wake wa Lugha kwenye American English. Angalia alivyokuwa anaongea Insta Live na Rick Ross anaulizwa hiki anajibu hiki.. au Alivyokuwa Marekani wakati anaongea na Snoop Doggy.. Kiafrika na kibongo bongo Almasi Yupo Juu!View attachment 3030964
Diamond Platnumz
Diamond Platnumz usibabaishwe na tuzo za BET kwasababu soko la mziki Marekani limeanguka na Wasanii wake hawana mashiko kwa sasa. Mziki mzuri upo Africa kwa sasa ukishikiliwa na nchi ya Nigeria
Wasanii wa Marekani wameanguka sana na soko lao limedorora sana, hawana nyimbo za kueleweka zaidi ya makelele kwenye masikio
Miaka ya 2015 kurudi nyumba kulikuwa na wasanii wazuri na waliburudisha sana hii dunia akiwemo Rihanna, Mariah Carey, Lil Wayne, Rick Ross, Snop Doggy na wengineo
Miaka ilipozidi kusonga hadi sasa soko lao la mziki limekuwa likizidi kuanguka kwasababu ya kukosa wasanii wenye vipaji na kuishia kutupigia kelele
Miaka ya nyuma hata tuzo za BET zilikuwa na hadhi kubwa sana lakini sasa hazina thamani tena
Nimekuwa nikifuatilia BET Awards tangu 2010 mpaka sasa naweza kusema kuwa hakuna event mbaya kuwahi kutokea kama BET Awards ya 2024
Yaani imepoa kama kono
Wasanii hawana nyimbo nzuri tena zaidi ya makelele ndiyo maana nina kila sababu ya kusema Diamond Platnumz usibabaishwe tena na hizi tuzo
Piga kazi tupo nyuma yako, achana na haya Makapuku ya BET
uhuru tech Mr WhyNilikuwa najiuliza hili swali,je mziki wa marekani vip ndo umekufa maan hata kwenye bar sio sana kama kipindi kile,hivi ni nani mwenye hitsong ya USA aweke hapa,au ni uzee
Marekani sasa hivi inainamishwa na Nigeria
SawamkuufesibukusikupendiWewe mnyarukolo nenda fesibuki
Yule kijana tunaweza kumfundisha. Hili sio tatizoTatizo kiingereza tu acha porojo. Ndugu Almasi kuimba Kwa kiingereza hajui. Kuongea kwenyewe ndiyo vile tena wanna, gonna, trynaaa, outta nyiiingi katumia kivuli cha kuficha ubovu wake wa Lugha kwenye American English. Angalia alivyokuwa anaongea Insta Live na Rick Ross anaulizwa hiki anajibu hiki.. au Alivyokuwa Marekani wakati anaongea na Snoop Doggy.. Kiafrika na kibongo bongo Almasi Yupo Juu!
Ungetazama BET Awards 2024 ungetapika. Ujinga mtupu ulifanyikauhuru tech Mr Why
mziki wa marekani sahivi sijui umekuaje, achana na old-school song nzuri za kina Boyz to men, r Kelly, Lionel Richie, Michael Jackson, Nelly wa dillema, destiny child,
Kuanzia 2008-2014 kulikuwa na hit songs toka kina
rihana rude boy,
Bruno Mars grenade,
Jenifer Lopez on the floor,
International love pitbull ft Chris brown
Akon,
Chris brown hit songs k.v loyal
usher Raymond dj got us fall in love, will I am omg,
Adam Levine stereo hearts & move like jagger
airplane bob &hayley,
Justin Bieber baby
wimbo wa price tag Jessie j,
carley jespsen call me maybe,
Jay z forever young
Sean Kingston beautiful girls
Niki minaj hit songs
Pitbull ft mark Anthony rain over me
Kina ice spice sijui wanaimba nini sahiv, eti you think you're the shit, you're not even a fart 😂
Hujui mziki halafu hata lugha hujui ndio maana unasema wanapiga keleleAre serious?