Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
wanafunzo watoto hawajui kiswahili???? ndani ya kenya???? kwani wafikiri huku ni sudan nini? inakaa umedanganywa sana kuhusu kenya. itakuaje habari za saa moja jioni znasomwa kwa kiswahili na stesheni zote za tv nchi nzima kama wakenya hawaelewi kiswahili?
CCM ni number One!