Kuna watu walitegemewa watajibiwa na nyimbo zao naona Mondi kapiga kimya kawakwepa.Habarini.
Huyu Kijana Imelazimika Nimsalimie “SHIKAMOO” Hata Kama Ninamzidi Umri.
Salaam Hii inakuja Baada Ya Kusikiliza “WAAAH” aliyo Mshirikisha Koffi.
Hili Ni Bonge Moja La Sebene kwa Kila Mpenda Sebene Analazimika kumsalimia Diamond “SHIKAMOO” Hata Kama Umemzidi UmrI
Ulikuwa unatakaje
Sawa kinega enjoy negativity [emoji3]Nachagua kuwa kinega, hamna kitu pale... Mopao kapaste verse yote na melody ya wimbo wake papaa ngwasuma!
Sasa unafkr itakuaje mkuu... tufanye ajali kazin tu hiyoKutafunia na tangawizi naweza lakini haitabadili ukweli kwamba utakuwa umeshatarisha ustawi wa jamii kwa kutoa maoni hatarishi.
Yaaa I was just kidding!Sasa unafkr itakuaje mkuu... tufanye ajali kazin tu hiyo
Sawa kinega enjoy negativity [emoji3]
Kwani nani hajui hilo sebene ? Ndio ukaenda kusaka mpaka link man wangu [emoji3]...jamaa kupita na hiko kipande hakufany nyimbo kua mbovu..ndio kazid kutishaHere’s the original version, usiishie copy tu... enjoy.
Sasa hapo Nani kacopy?Here’s the original version, usiishie copy tu... enjoy.
Koffee hahahaSasa hapo Nani kacopy?
Namm napapenda hapa balaa...hii nyimbo wa bar wamepata wateja sanaHaka kajamaa kaacheni tu sijui kanatumia ndumba gani wimbo ni dude balaaa,,, Usiniguse usini touch tusalimiane kwa miguu
Nasubili video yake tu hapaNamm napapenda hapa balaa...hii nyimbo wa bar wamepata wateja sana
nyimbo yote ya kofii olomide diamond ni kama mcheza shoo wake tuHili dude noma mzee....sema vinega watakuja kusema hamna kitu[emoji3]