Diamond Platnumz 'Waaah' Ft Koffi Olomide

hiyo SHIKAMOO yako kama haina kazi si bora ukampe Pierre Liquid au Mwaisa
 

[emoji1316][emoji91][emoji91]
 
Kuna watu walitegemewa watajibiwa na nyimbo zao naona Mondi kapiga kimya kawakwepa.

Mondi ni mfanya biashara,ukizingatia sasa hivi ana utitiri wa show ktk nchi za Anglophone Countries ,kaachia nyimbo ambayo inaendana na nchi hizo.
Anglophone?
 
Shikamoo kwa wimbo wakipumbavu hivi?kweli???punguza bangi
 
👍👍👍
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…