Kwani Nani kakutuma ujielezeangemkuta Papaa Mopao enzi zake yuko kwenye peak na yale madharau yake ya kikongo, asingekubali kufanya hio collab , ashukuru papaa amechoka, hata kibeku alikuwa ungo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Nani kakutuma ujielezeangemkuta Papaa Mopao enzi zake yuko kwenye peak na yale madharau yake ya kikongo, asingekubali kufanya hio collab , ashukuru papaa amechoka, hata kibeku alikuwa ungo
Nimeiona hiyo. Ina siku 3 mpaka sasa watazamaji laki tano na elfu 34. Wakati huohuo hii waliyoimba na domo ina siku moja na watazamaji milioni nne. Koffi kajifunika.Mopao ni businessman....masaa 15 yaliyopita kaachia mchuma mpya.."Danse ya ba Congolois"....akitumia kionjo chake cha "BIYO..BIYO..NGANGASHUU..BOSS YA MBOKA"
Username ya star, akili za mkaa.Kwani Nani kakutuma ujieleze
I'm not a fan but he deserve credit, that is hugeDiamond platinum ndio msanii wa kwanza Tanzania kufikisha viewers 2.3M ndani ya Masaa machache(21 hours) katika platform ya youtube kupitia wimbo wake wa waah!!, wimbo wake howa Diamond Amemshirikisha msanii wa nchi ya Congo ajulikanae kwa jina la Koffi Olamide.View attachment 1639588
miundo mbinu ya congo na lifestyle la kule hawana amsha amsha ya kwndana na trends thats why ni ngumu sana kukuta nyimbo zao zimevuka 40M viewers....tofauti na sisi bongo......Nimeiona hiyo. Ina siku 3 mpaka sasa watazamaji laki tano na elfu 34. Wakati huohuo hii waliyoimba na domo ina siku moja na watazamaji milioni nne. Koffi kajifunika.
Kuhusu kutaja majina ni desturi yake tangu anaanza muziki. Sikiliza wimbo wa Loi na nyingine za miaka hiyo alikuwa anaongea sana kuliko kuimba.
HahahaKwaiyo mods mmeamua kuunga uzi wangu na huu? Mbona ni topic mbili tofaut...huu ni ukuda Sasa
Ndio shida ya mods kua team pinzani...uzi wangu ulikua unahusu Simba kuweka record mpya..wao wakaunga pamoja na uzi unaongelea hiyo ngoma ilivyo nzuri...mods kaona ile record iliyowekwa isisikike...[emoji1787][emoji1787] Maxence Melo mkuu naomba uzi wangu usichanganywe na huu..mmearibu kila kitu hadi comments zinaingiliana kwanini lakin?Hahaha