Diamond Platnumz: Wanaonichukia ni masikini hawana hela

Diamond Platnumz: Wanaonichukia ni masikini hawana hela

Inategemea na unavyoichukulia, wajua maneno mengine yanakupa motisha wa kupambana sana.
Kuna mwana mama mmoja aliwahi niambia kwamba siku moja alikuwa kapewa lift na mwenzake eti wakiwa pale mwenge mwenzake akamwambia eti yani magari yote haya hapa mjini hakuna hata moja la kwako.
Mama anasema aliumia aksema ni lazima anunue gari, leo hii huyo mama kwake kapanga magari tena ananunua brand new magari heavy nyumbani kwake, ana mijumba ya maana ana matenda huko serikalini.
So get angry or get inspired ulikuwa msemo wa Albert Msando
 
ni ya muda kidogo ila ndicho kilichopo kwenye ubongo wake...kama hujawahi kuiona icheki fasta maana kuna mods wataitoa bila sababu ,usisahau JF ya siku hizi siyo ya zamani,kuna Mods sijui huwa wanafikiriaga nini,wanamfurahisha mlezi wa dabliyusibi

Mbona ulichokiandika sicho alichokiongea? nadhani wewe ni miongoni mwa wale ambao mnamchukia wakati kawazidi kila kitu.
 
Nafikiri hiyo marufuku inamstahili. Anatukana mbele ya mtoto? Usiwathamini au kuwaheshimu wa wenzako, hata wa kwako, kamekukalia mbele yako?
 
Inategemea na unavyoichukulia, wajua maneno mengine yanakupa motisha wa kupambana sana.
Kuna mwana mama mmoja aliwahi niambia kwamba siku moja alikuwa kapewa lift na mwenzake eti wakiwa pale mwenge mwenzake akamwambia eti yani magari yote haya hapa mjini hakuna hata moja la kwako.
Mama anasema aliumia aksema ni lazima anunue gari, leo hii huyo mama kwake kapanga magari tena ananunua brand new magari heavy nyumbani kwake, ana mijumba ya maana ana matenda huko serikalini.
So get angry or get inspired ulikuwa msemo wa Albert Msando
Story za kufikirika hz...too much exaggeration
 
Story za kufikirika hz...too much exaggeration
Haimanishi kwamab hilo jambo ndilo lilimfanya awe tajiri ila anasema kila mara alikuwa akikumbuka hiyo kauli yani haya magari yote hapa mjini hakuna hata la kwako moja.
By the namfahamu sana huyo mmama kabla hajafika alipo kapambana sana kafanya yote hadi ufundi wa kupiga rangi kitu ambacho ni adimu kwa akina dada.
 
Inategemea na unavyoichukulia, wajua maneno mengine yanakupa motisha wa kupambana sana.
Kuna mwana mama mmoja aliwahi niambia kwamba siku moja alikuwa kapewa lift na mwenzake eti wakiwa pale mwenge mwenzake akamwambia eti yani magari yote haya hapa mjini hakuna hata moja la kwako.
Mama anasema aliumia aksema ni lazima anunue gari, leo hii huyo mama kwake kapanga magari tena ananunua brand new magari heavy nyumbani kwake, ana mijumba ya maana ana matenda huko serikalini.
So get angry or get inspired ulikuwa msemo wa Albert Msando
Get angry or get inspired ni msemo wa Msando? Are serious mkuu
 
Back
Top Bottom