nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
Ni ya muda kidogo ila ndicho kilichopo kwenye ubongo wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haahaa hivi na kwenyewe huko wanafungia au?BASATA wakiiona hii, watamfungia kutumia ata Instagram
ni ya muda kidogo ila ndicho kilichopo kwenye ubongo wake...kama hujawahi kuiona icheki fasta maana kuna mods wataitoa bila sababu ,usisahau JF ya siku hizi siyo ya zamani,kuna Mods sijui huwa wanafikiriaga nini,wanamfurahisha mlezi wa dabliyusibi
Story za kufikirika hz...too much exaggerationInategemea na unavyoichukulia, wajua maneno mengine yanakupa motisha wa kupambana sana.
Kuna mwana mama mmoja aliwahi niambia kwamba siku moja alikuwa kapewa lift na mwenzake eti wakiwa pale mwenge mwenzake akamwambia eti yani magari yote haya hapa mjini hakuna hata moja la kwako.
Mama anasema aliumia aksema ni lazima anunue gari, leo hii huyo mama kwake kapanga magari tena ananunua brand new magari heavy nyumbani kwake, ana mijumba ya maana ana matenda huko serikalini.
So get angry or get inspired ulikuwa msemo wa Albert Msando
Haimanishi kwamab hilo jambo ndilo lilimfanya awe tajiri ila anasema kila mara alikuwa akikumbuka hiyo kauli yani haya magari yote hapa mjini hakuna hata la kwako moja.Story za kufikirika hz...too much exaggeration
Haahaa hivi na kwenyewe huko wanafungia au?
ni ya muda kidogo ila ndicho kilichopo kwenye ubongo wake...kama hujawahi kuiona icheki fasta maana kuna mods wataitoa bila sababu ,usisahau JF ya siku hizi siyo ya zamani,kuna Mods sijui huwa wanafikiriaga nini,wanamfurahisha mlezi wa dabliyusibi
Get angry or get inspired ni msemo wa Msando? Are serious mkuuInategemea na unavyoichukulia, wajua maneno mengine yanakupa motisha wa kupambana sana.
Kuna mwana mama mmoja aliwahi niambia kwamba siku moja alikuwa kapewa lift na mwenzake eti wakiwa pale mwenge mwenzake akamwambia eti yani magari yote haya hapa mjini hakuna hata moja la kwako.
Mama anasema aliumia aksema ni lazima anunue gari, leo hii huyo mama kwake kapanga magari tena ananunua brand new magari heavy nyumbani kwake, ana mijumba ya maana ana matenda huko serikalini.
So get angry or get inspired ulikuwa msemo wa Albert Msando
Ninaposema msemo wa Msando sijamaanisha kautunga yeye maana yangu alikuwa akipenda kuutmia alipokuwa akipost mali zake instagram.Get angry or get inspired ni msemo wa Msando? Are serious mkuu
Poa poa mkuuNinaposema msemo wa Msando sijamaanisha kautunga yeye maana yangu alikuwa akipenda kuutmia alipokuwa akipost mali zake instagram.
Hamfikii pogba jana kasema atalala nao mbele viongozi watakaowasumbua machinga wenye vitambulisho vyakeHuyu jamaa ni professional wa matusi.
Mbona ulichokiandika sicho alichokiongea? nadhani wewe ni miongoni mwa wale ambao mnamchukia wakati kawazidi kila kitu.
King please rudisha ile avatar picha tuliyokuzoea pleaseDiamond anataka apendwe kwani amekuwa cleopatra wa misri?