Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Nashangaa wanaoona kaonewa sababu si kwa kauli mbaya kiasi hicho aisee.Nafikiri hiyo marufuku inamstahili. Anatukana mbele ya mtoto? Usiwathamini au kuwaheshimu wa wenzako, hata wa kwako, kamekukalia mbele yako?
Nakazia...Nashangaa wanaoona kaonewa sababu si kwa kauli mbaya kiasi hicho aisee.
Maneno mazito namna hii, yenye busara kama haya, tena yakiwa kwenye tamathali za semi kama hizi na kwenye unyumbulifu na utajiri wa lugha aina hii, hakika huwezi kuyapata usukumani, bilashaka weye Shadeeya utakua Mpwani weyeAiseee! Ama kweli hawakukosea waliosema "isiyomfaa akili yake utamdhuru ujinga wake"
We jamaa ni bingwa waku-sugarcoatManeno mazito namna hii, yenye busara kama haya, tena yakiwa kwenye tamathali za semi kama hizi na kwenye unyumbulifu na utajiri wa lugha aina hii, hakika huwezi kuyapata usukumani, bilashaka weye Shadeeya utakua Mpwani weye
Kama sio Muunguja au Mpemba basi utakua Mzaramu tena wa Bagamoyo, kama nimekosea huko basi labda mwambao wa bahari ya Tanga au labda asili yako ni Masiwa ya Ngazija/Comoro na kama sio huko basi pengine ulitokea Pwani ya Kusini pande za Kilwa au Sofala
Kama hili ni saundi kwa huyo dada basi Kibla ileeee naiona kwa mbaliManeno mazito namna hii, yenye busara kama haya, tena yakiwa kwenye tamathali za semi kama hizi na kwenye unyumbulifu na utajiri wa lugha aina hii, hakika huwezi kuyapata usukumani, bilashaka weye Shadeeya utakua Mpwani weye
Kama sio Muunguja au Mpemba basi utakua Mzaramu tena wa Bagamoyo, kama nimekosea huko basi labda mwambao wa bahari ya Tanga au labda asili yako ni Masiwa ya Ngazija/Comoro na kama sio huko basi pengine ulitokea Pwani ya Kusini pande za Kilwa au Sofala
😳😳😳Kama hili ni saundi kwa huyo dada basi Kibla ileeee naiona kwa mbali
Hahaha mi mwenyewe nimecheka kuna watu wanajua kuvisha vilemba vya ukoka aiseeKama hili ni saundi kwa huyo dada basi Kibla ileeee naiona kwa mbali
Mkuu huwez kuwa tajir kwa kufanya mishe kama hzo..et kupaka rangi uje uwe unanunua magar mapya yamerundikana...huyo kuna sehemu kacheza rafu na wakubwa wa serikalin....hata diamond kacheza rafu sana mpak kufikia hapo, mpka kuuza ngada akilindwa na hao wakwere....acha kabisa haya mambo..utajir wa halali ni ndoto bongoHaimanishi kwamab hilo jambo ndilo lilimfanya awe tajiri ila anasema kila mara alikuwa akikumbuka hiyo kauli yani haya magari yote hapa mjini hakuna hata la kwako moja.
By the namfahamu sana huyo mmama kabla hajafika alipo kapambana sana kafanya yote hadi ufundi wa kupiga rangi kitu ambacho ni adimu kwa akina dada.
halafu awamu hii watu wenye roho za korosho wamekuwa wengi sana sijui kwa niniNi kweli kabisa watu kwenye roho za kimasikini huwa wanachukia mafanikio ya wengine
Mkuu hujasoma vizuri na kuelewa. Nimekwambia yule mama kahangaika sana hadi ashawahi kuwa mpaka rangi ikiwa a maana ni kati ya mambo aliyofanya wakati ana hustle. Sasa hivi ana kampuni ya kutoa mikopo kwa wajasiriamali na kampuni ya ujenzi pia. Halafu maishani malengo ni kitu cha msingi. Kuna wauza juice wengi lakini kaja Mac Juice katoboa huenda hata wewe ulikuwa unawaza huwezi kutoboa kupitia uuzaji wa juice.Mkuu huwez kuwa tajir kwa kufanya mishe kama hzo..et kupaka rangi uje uwe unanunua magar mapya yamerundikana...huyo kuna sehemu kacheza rafu na wakubwa wa serikalin....hata diamond kacheza rafu sana mpak kufikia hapo, mpka kuuza ngada akilindwa na hao wakwere....acha kabisa haya mambo..utajir wa halali ni ndoto bongo
Poa poa mzuqa.King please rudisha ile avatar picha tuliyokuzoea please
Pajapo KIBURI huja AIBU; naiona hiyoooooooooooi inakujaNi ya muda kidogo ila ndicho kilichopo kwenye ubongo wake.