Diamond Platnumz yupo Marekeni anatafuta pesa Ali Kiba yupo nyumbani anabishana na wakina mama

Diamond Platnumz yupo Marekeni anatafuta pesa Ali Kiba yupo nyumbani anabishana na wakina mama

Dumuzii

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2019
Posts
3,593
Reaction score
8,595
Narudia Tena. Diamond Platnumz yupo Marekeni anatafuta pesa Ali Kiba yupo nyumbani anabishana na wakina mama [emoji23][emoji23] halafu badae Diamond akisema anahela kumshinda Alikiba mna mind[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jaribu kuwa na heshima kijana tumia uhuru wako vizuri ukiwa nyuma ya keyboard sawa hee
Kwahiyo hilo povu unalotema ndio kithibitisho cha wewe kua na akili kubwa?
Hii ni JF an open forums,acha kuteseka utapata vidonda vya tumbo,huwezi kumcontrol mtu aandike nini hapa,usiniletee hasira za njaa yako hapa boya wewe.
 
Back
Top Bottom